WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 5,609
- 5,271
Hizo nguzo alitolea mfano huyo niliyekuwa namjibu,hivyo jibu lilitokana na yale aliyoyaibua mchangia mada,pili swala la usomi ni kuelewa siyo kushinda mitihani tu kama Magufuri na ukaendelea kuamini katika zama za Mawe,ubabe,uongo na sifa za kijinga.Wewe ndie msomi? Kama wewe pia ni msomi basi baba yako aliuza ng'ombe kupeleka Ng'ombe shule.
Lete ushahidi wa hizo nguzo kutoka mufindi kwenda Tunduma, lete ushahidi wa maovu aliyoyafanya Magufuli. Eleza kwa kwa hoja zenye mashiko hayo maovu aliyoyafanya Magufuli. Alafu utueleze ni awamu ipi haikua na maovu kwenye nchi hii.
Nakushauri meku ufanye kazi kwa bidii tuondokane na roho mbaya na chuki za kijinga. Hata Mbowe akiwa rais hataweza kukuletea chakula nyumbani.