Hawa Black burn mbona wanataka kufanya game ngumu hii. Tangu Skrtel atoke huyu Gestede amekuwa aki-win mipira ya juu.
Lovren anatakiwa atulie tu kupanic si solution. We have a offensive team mpaka beki wana shambulia, gape tunazoacha wakati wa kushambulia blackburn wanaweza tumia kwenye counter-attack
Duh...leo hawa madogo wamekaza kwelikweli,Ila to be honest,SKIRTEL na CAN walitakiwa wapumzishwe aisee,wamecheza game nyngi sana mfululizo,sema tu ndo vile hakuna mbadala wao pale benchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.