What the hell is this Goddammit 😳! Full excitement that is a meaning of EPL
Game ilikuwa emotional sana hii
Mohamed Salah: Baada ya kufunga goli la mwisho,ameshangilia kama Jota na sio wajaze... alielekeza mikono juu na kufanyia ishara ya sala/dua. Ilikuwa ishara ya kutoa heshima na kumwombea Jota mbele ya mashabiki wote.
Hugo Ekitike: Baada ya kufunga goli lake la kwanza kwa Liverpool, alishika jezi yenye namba 20 (namba ambayo Jota alikuwa anavaa) na kuinua juu akionyesha ishara ya kumkumbuka. Hii ilikuwa kama kusema, "Goli hili ni kwa ajili yako, kaka.” ni unyama tu.... na Gakpo nae hivo hivo ishara ya namba 20
Ila binafsi nimesikitishwa sana na mashabaki wa kona ya kulia kwa goalside ya Liverpool 1st half,
Hivi Ubaguzi wa rangi bado unaendelea tu duh!kuna tukio kubwa limeendela uwanjani leo pale ambapo Simenyo alitemewa shit kisa rangi yake na kulushiwa kiatu
katika dakika ya 30 mpira ulisimama na kukaonekana kama kuna mazungumzo kati ya police,coach wa pande zote mbili na wasaidizi wa mchezo. Kumbe inshu ilikuwa ni hii
YNWA