Watakaa sawa tu ni safari ndefu wao kupambana wachezaji na Liverpool , Manchester City/ United, Arsenal bado kabisa. Wapi kwenye laiti traki.Newcastle wana gundu la kukataliwa, Sesko nae amewakataa
Bila kununua beki wa daraja la kwanza sitofurahia sana haya mauzo 😎😎
Bila kununua beki wa daraja la kwanza sitofurahia sana haya mauzo 😎😎
Ukuta haupo sawa na VVD ndio huyo anaumwo hati hati akose mech ya Jumapili Ngap Ya Jamii ina maana atachecza Endo pale na Konate, hii sio powa kabisaaa.
YNWA
Bila kununua beki wa daraja la kwanza sitofurahia sana haya mauzo 😎😎
Ukuta haupo sawa na VVD ndio huyo anaumwo hati hati akose mech ya Jumapili Ngap Ya Jamii ina maana atachecza Endo pale na Konate, hii sio powa kabisaaa.
YNWA
Upande wa kushoto tunao Gapko, Florian na Rio, upande wa kulia yupo Salah, Doak na Frimpong kati yupo Hugo na DannsKwa kuondoka Jota, Diaz na Nunez basi kwasasa I prefer Isak kuliko Defender
It's top priority man back line addition.View attachment 3435416
Huyu dogo PSG wakimchukua tupige hodi kwao kumchukua Willian Pacho sasa
"EPL experience is valuable, but system fit is more crucial. Pacho suits Slot’s high line, press, and build-up better than Guéhi, whose strengths are more traditional defensively."It's top priority man back line addition.
I would prefer Guèhi having EPL experience makes more sense.
YNWA
Mkuu Shauku kwasasa ni mbadala wa KONATE,, maana KONATE kagoma mkataba mpya ,, lakini mbali na hilo ni mtu ambae anatupa mechi chache pia muda mwingi yupo kitandani. Tungekuwa na yule Gomezi wa 2018/2019 wala tusinge kuwa na pressure na CB.Upande wa kushoto tunao Gapko, Florian na Rio, upande wa kulia yupo Salah, Doak na Frimpong kati yupo Hugo na Danns
Elliott na Chiesa nao mbioni kuuzwa hivyo lazima klabu iingie sokoni kununua angalau wachezaji watatu
WInga mmoja, beki mmoja na Strika mmoja.
Dirisha lipo wazi ngoja tusubiri aisee.
YNWA
Huyu macaroni hair aende tuView attachment 3435108
🚨 RB Leipzig are progressing well in talks with Harvey Elliott. Leipzig to prioritise Elliott signing after closing Sesko sale to Manchester United. Offer expected for Elliott.
Kuhusu DM kwa dirisha hili sio muhimu kwa Slot, ataenda na double pivot ya Mac na GravMkuu Shauku kwasasa ni mbadala wa KONATE,, maana KONATE kagoma mkataba mpya ,, lakini mbali na hilo ni mtu ambae anatupa mechi chache pia muda mwingi yupo kitandani. Tungekuwa na yule Gomezi wa 2018/2019 wala tusinge kuwa na pressure na CB.
Halafu Slot ndio karidhika moja kwa moja GREV acheze DM?
UNajua msimu uliopita,, cleansheet zilikuwa adimu sababu back line yetu ilikuwa inakuwa exposed sana na hii sababu ya kukosa natural Dm.Kuhusu DM kwa dirisha hili sio muhimu kwa Slot, ataenda na double pivot ya Mac na Grav
Muhimu ni Striker, CentreBack na Winger
Hawa makocha na wamiliki wakati mwingine hua wanatuchanganya. Tazama hatupata mbadala wa Fabinho maana Endo ni Endo hizo levo hana na sio tetesi zozote kuhusu Hilo. Jibu ni moja Grave amekumbali kuchezeshwa nje ya namba yake.Mkuu Shauku kwasasa ni mbadala wa KONATE,, maana KONATE kagoma mkataba mpya ,, lakini mbali na hilo ni mtu ambae anatupa mechi chache pia muda mwingi yupo kitandani. Tungekuwa na yule Gomezi wa 2018/2019 wala tusinge kuwa na pressure na CB.
Halafu Slot ndio karidhika moja kwa moja GREV acheze DM?
Don't be surprised Guèhi fit the system without major wait , sometimes yes sometime no case study Nunez couldn't click under Klopp and couldn't click under Slot and yet we see the potential is there... All is needed is just a chance to prove himself at highest level if it's can't work selling him ain't a problem at his age."EPL experience is valuable, but system fit is more crucial. Pacho suits Slot’s high line, press, and build-up better than Guéhi, whose strengths are more traditional defensively."