King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,461
- 7,453
Rent boys walishaanza kuleta kiburi na misemo yao ya kiajabuajabu eti wao wanahitaji points 3 kila mechi tu.
Haya warudi wakajenge Timu angalau wamalize juu ya Man United manake Arsenal leo anaenda kuwatoa kwa Mapanga pale nafasi ya Pili walipojichomeka.
Haya warudi wakajenge Timu angalau wamalize juu ya Man United manake Arsenal leo anaenda kuwatoa kwa Mapanga pale nafasi ya Pili walipojichomeka.