Grau
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 4,790
- 4,678
Walisha ridhika na magoli haoHata ukabaji wa VVD hauridhishi, akipitwa tu anasimama
Walisha ridhika na magoli haoHata ukabaji wa VVD hauridhishi, akipitwa tu anasimama
Brother, Sit down and Relax, Let's celebrate the win and move on to the next game, Spurs wanauwezo wa kufunga magoli kwa timyu yoyote ile Europe.Alison Pazia
Pharao kwenye game 16 amefunga na kuassist katika game 14
Huyu ni goat hapa anfield
Huyu jamaa kinachomponza ni kua muafrika angekua mzungu angeandikwa Kila Kuta za UK
Uzuri England hakuna ubaguzi kama Spain. Ingekuwa Hispania pale wangemfanya kama EtooHuyu jamaa kinachomponza ni kua muafrika angekua mzungu angeandikwa Kila Kuta za UK
Una tamaa za fisi mkuu! Yaani 6 ukaona hazitoshei?Hawa TOT ni wakuwapiga Saba hawa
Mwili u.meanza kukataa majukumu!Hata ukabaji wa VVD hauridhishi, akipitwa tu anasimama
Ameongea kiutu uzimaMohamed Salah:
“We were quite good in front. Defensively we have to improve as a team! To concede three goals is quite hard. Virgil will speak better than me about that.”
Kuna bakora kadhaa alipiga kipa wa spurs aliivia moshi