RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,411
- 135,038
makina David Gill (Manure cunts) si yamejazana mule!!!
RB alikuwa anayatoleaga sana uvivu!!
khe khe khe khe khe wewe bila kuitaja hii timu siku yako haikamiliki......na bado mtakoma mwaka huu, i cant believe mnalaumu waamuzi kwa uozo wenu! mbona sisi tunakubali ni wachovu tangu mwaka juzi??!! mmeuza Ferarri mkanunua Fiat mbili mnategemea perfomance ya ferrari....ridiculous!