Slot Ball EPL are not ready.
Nilitamani tulivyokosa DM wa maana kipindi cha Klopp zaidi msimu jana nilitaman Klopp acheze na double MF pale kati kupunguza mashimo aliyokuwa akiyaacha Endo au Macca, hii ndio kocha mnyumbulifu anavyofanya kuwa na plan B pale A inapoliwa na kirusi, bahati mbaya kwa Klopp ilikuwa tofauti alikomaa na plan yake ile ile bila kujali maneno ya nje.
Nilichokiona jana ni unyumbulifu wa Slot, hakua na natural striker akaamua kucheza na double 10 hapa kama una technician mzuri unafungua low block teams.
Binafsi napenda mpira mzuri zaidi sana wa possession, hua najiuliza kwa nini sikuangukia Arsenal au Barca kwa kipinde kile walikuwa na mpira mzuri, kilichonivuta LIVERPOOL ni Jezi na ile nembo yake.
Je, Slot kutuletea possession football i can say yes he can, jana nimeona hilo la kubuild up kupitia katika kati, changamoto ni kwamba bado wachezaji wapo kwenye system ya Klopp, they are not comfortable bado. Time needed it wont take long sababu utofauti ni mdogo na Klopp style.
Players impressed me alot;
TREY NYONI:-
(what a player, technician one was beautiful to watch, his passes were quality very quality and technical)
It was joy kumuona na mpira unaona raha akipewa unajua imefika mahali salama. He is young with just 17yrs, changamoto ni mwili mdogo kwa EPL ata struggle sana.Thats why at the age if 16+ Klopp alimpa nafasi.
BEN DOAK:-
Young lad huyu Mscotish alishawishi wengi sana miaka hii kabla ya injury yake ile. Wengi ilifikia mahalia wakasema Salah auzwe tuna mchezaji anaitwa Doak(🫠) niliwaelewa wamelewa na kipaji chake, si unajua ukishalewa, huoni husikii? Basi Doak amerudi tena na amekuwa yule yule. Kwa dakika alizocheza nakumbuka ali dribble past kama mara tatu hivi. He is good kwenye ku dribble na he is too direct (wanasema hakwepi mabeki, haogopi).. Asset ya maana hii miaka ya mbele hapo.
Owen Beck:-
Ndio maana Klopp na jopo lake walishawishi arudi kwenye timu, he is so good.. LB wa maana sana huyu future LB akiwa injury free.
Bradley



Huyu bwana mdogo aongeze juhudi zaidi anaweza kusolve kwenye ishu ya RB he is so go good both offensively and defensively.
Eneo ambalo naona halikwepeki kusajili ni DM we must sign defensive midfield. Endo is not enough to carry us next season. He was flop yesterday as a senior player with what he played. Endo umri umesogea kucheza more than 50 matches ni uongo kwa ubora ule ule, DM can solve defensive issue than LCB.
YNWA