HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Hebu sema tena tukuelewe. Yaani ili Gomez afunge, mnataka muwe mnaongoza 4-0 dhidi ya City, mpate penalty ndiyo apewe Gomez apige?View attachment 2925299
Mwenyezi Mungu amsaidie weekend hii afunge goli dhidi ya City kati ya zile goli za ushindi tutakazopata kwenye game hiyo. 😂😂😂
Mhh. Itapendeza lakini.
Wapigeni 3-0 tu . Msiwavunje moyo.


EXCLUSIVE — Grimaldo: “Xabi Alonso is 𝐬𝐩𝐞𝐜𝐢𝐚𝐥. He’s going to mark an era as a manager”.