Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

tunatakiwa tuwe makini Sana mechi ya kesho tusiingie tukiwa overconfident maana Kuna kombe la Ligi tulishapoteza kwa kudraw na Man u wakti wakiwa wako hoi na sisi tulikuwa vizuri Sana(ilikuwa OT)

Game ya arsenal nayo tunatakiwa tuwe makini kupitiliza tukishinda hiyo the future is Bright....Mungu atatupitisha January salama kama tukisajili
said it.....we lost two easy points

hiyo ya arsenal nayo ni a must win game maana unai naye hana urafiki na sisi kabisa maadui wanakuwa wengi tu

-Mwanangu szobo sijui wamempiga misumari aisee
 
Yani leo tumekuwa Tembo tumedondoka kutoka kwenye Mti
20231212_150016.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom