Tumem miss aisee [emoji24][emoji24] ila mtu akikosekana siku nyingi mashaka yanakuwepo aisee
Dominik szoboszlai anapiga mpira unapiga kona, umeshawahi ona pira biliani? [emoji23][emoji23][emoji23]
Diaz alitoka wakati Gakpo alipoingia, well walicheza Gakpo na Slozo pamoja lakini sio ule utatu wa hovyo, kumbuka aliingia JOTA
Simu underate Gakpo, ila eti mechi ipo tyt unatafuta goli unamwingiza Gakpo, hutalipata kamwe, yule labda kama jana mnahitaji kuposses zaidi ila sio kuwa threat
Gakpo sawa alicheza na Domi, ila sio katika ile pattern ya yeye salah na Diaz, hiyo pattern imekufa rasmi, otherwise kuwe na injuries nk, ila watu wako fit, klopp hawezi anza na hiyo pattern as i predicted yesterday
Unaongelea timu ipate injury crisis ndo aingie?! Wakati Msimu wa kwanza kwake tumeshinda Mechi nyingi tukiwa nae Kama regular starter kule mbele. Angekuwa Hana threat yoyote angesugua benchi. The Fact is Klopp anafanya rotation katika start up 11 ili kuwa na kikosi hatari zaidi na kuendana na aina ya mpinzani anayekutana nae... hushangai Pale City Silva anakaa benchi mda mwingine kwani Hana threat kwa mpinzani?!.
Nikukumbushe tu Pia LFC vs Manure 7 -0 , Leeds kala 6 with Gakpo upfront.
Henderson ni mpuuzi sana
Kaanza kutuongelea vibaya huko
Mshamba sana yule jamaa
mimi ni mshabiki wa Arsenal ila game za Liverpool zote lazma niangalie kwasababu ya ile midfielder SZOBOSLAI
.....napenda playing style yake,defensive role anaifanya kwa makini sana, ana uwezo mzuri wa kufanya quick interceptions,upigaji wake wa pasi mzuri sana na ana footwork nzuri kwahyo ni rahisi kukuhukumu akiwa kwenye final third ya opponent.
Nimesikia fununu za mbape kupenda kuchela lfc kama kuna uhakika wa pre agreement na mbape ndio replacement pekee ya salahChukueni pesa nzuri kwa wasaudia £200m,huku mkiwa na risk ya kustruggle au ikataeni muonekane wapuuzi
Ila £200m nyingi Sana kwa mchezaji ambaye ana 31+
Nimesikia fununu za mbape kupenda kuchela lfc kama kuna uhakika wa pre agreement na mbape ndio replacement pekee ya salah
Mpuuzi tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Henderson ni mpuuzi sana
Kaanza kutuongelea vibaya huko
Mshamba sana yule jamaa
Mngemuuza CB wenu Gabriel kwenda Saudi kwanza mpate pesa huku mki-struggle kwa kufungwa Hovyo. Unaongea upupu huku mliweka Zuio la nguvu Gabriel asiuzwe mngeachia mapaja Sasa pesa si tamu kwa wote?!.Chukueni pesa nzuri kwa wasaudia £200m,huku mkiwa na risk ya kustruggle au ikataeni muonekane wapuuzi
Ila £200m nyingi Sana kwa mchezaji ambaye ana 31+
Hichi kitu nilikisema mimi watu wakaanza kuongea, niliwaambia tuichukue Elliott na Doak wapo na waaminiwe tu.Chukueni pesa nzuri kwa wasaudia £200m,huku mkiwa na risk ya kustruggle au ikataeni muonekane wapuuzi
Ila £200m nyingi Sana kwa mchezaji ambaye ana 31+
Huyu ana jealous sababu Klopp amekataa Salah kuuzwa. Anajihisi yeye hakuna mtu ( hasa Klopp na FSG) aliyemuhitaji hapa ndo Main point. Kama anataka kutunziwa heshima yake kwa Fans wa LFC basi afunge bakuli lake maana anazidi kushusha Brand.
Hichi kitu nilikisema mimi watu wakaanza kuongea, niliwaambia tuichukue Elliott na Doak wapo na waaminiwe tu.
Huyu ana jealous sababu Klopp amekataa Salah kuuzwa. Anajihisi yeye hakuna mtu ( hasa Klopp na FSG) aliyemuhitaji hapa ndo Main point. Kama anataka kutunziwa heshima yake kwa Fans wa LFC basi afunge bakuli lake maana anazidi kushusha Brand.
Watu wanaleta masihara sana [emoji23]Anyway utofauti wa mawazo haupingiki.
Lakini mkuu kuwa serious Elliot for Salah?? Doak for Salah?? Its not about kuaminiwa its all about consistency.