Barela ..very good
Vipi kuhusu Mo Kudus?
Huyu Kone ni yupi?
Keita got a hit piece from The Athletic the other day.View attachment 2532183
Hapo captain alishindwa kupiga pass mbele akageuka nao na kuurudisha mpira nyuma.
Lazima Klopp afanye maamuzi magumu sana coming summer.
Jones
Keita
Ox
Matip
Milner
Hendo
Fabinho
Gomez
Adrian
Sure Klopp kama binadamu ana mapungufu yake na moja wapo na kutaka kile anachaomini yeye basi na wengine wote wakiamini na kutekeleza hata kama matokeo ya nyuma yanaonyesha kufeli kwa mchezaji husika basi Klopp kwa kua hapedi kupangiwa atakufa na tai shingoni kwa kutotaka kuambiwa ABC ya pale sio... Kieta ishu yake ipo sensitive sana tangu ametua Liverpool hajawai kua na wakati mwema kwa upande mmoja ni toll ya majeruhi na upande wa pili ni Klopp kumchezesha position anazotaka yeye bila kujali dogo anatoa performance ipi... Keita akiwa higher the pitch hua ana impact njema tu kwa hali yake na mara nyingi pale hajashindwa ikiwa pia kule RB Leipzig alicheza nyuma ya front kwa boys kwa mafanikio makubwa tu na hii ilituvutia sana Liverpool tukatoa ule mpunga wote kumnasa lakini Klopp kama kawaida yake akadhani huyu nae ni kama Gini au Can au Fabinho ambao wapo flexible kucheza nafasi tofauti uwanjani ni kutekeleza maelekezo ya mwalimu to the letter... Gini chini ya Klopp alikua played out of position na dogo japo akiwa na timu ya Taifa 'alilalamika' huko lakini alikomaa sana kumpa Klopp alichotaka so Klopp anafuata ku kopi na ku pasti ya wachezaji wengine kumtegemea Keita afanye yale...Mkuu, Keita amekuwa ni dissapointment, but we all know, and najua unaelewa kuwa Keita ana thrive akiwa ahead of the ball, hii imekuwa case ya Keita tangu amekuja LFC, Klopp played him at LCM against Crystal Palace, he always struggles there, ALWAYS.
Na, Klopp anampeleka Keita at LCM, because Henderson hawezi. kucheza eneo lolote lile zaidi ya RCM and 6, ile game ya Crystal palace, kama Klopp. angeanza na Bajcetic at LCM and Keita at RCM, tungekuwa fine, mbona kabla Thiago hajaumia, ile MF ya Keita-Baj-Thiago, mbona Keita alikuwa na decent performances?
This is our African brother mkuu, anapitia mambo magumu sana UK, jana umeona Athletic wametoa article kum-target jamaa, Henderson anapata free-pass again.
I know tumemchoka Keita, but he's our African brother, career yake imeharibiwa na injuries na Klopp's man management on him, wote tunajua how talented Keita alivyokuwa, its just unfortunate.
He's our African brother.
Against United, play 442, put Jota on Casemiro, we did this kwa a more composed & ball playing DM (Rodri) na tulifanikiwa.
We will lose kama tukicheza 433.