Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,582
- 235,437
Oh what a boyWhy are we losing?
Hivi hili la Trent Alexander Anord kua na assist moja EPL msimu huu nayo imekaa nje, nini kimemkuta huyu chief whip wa ma assist makali sana. Je tukiachana na uzee wa kikosi nalo hili halijachangia kikosi kukosa ukali wa magoli..
YNWA
Anamuasistia Nunez, unategemea nn hapoWhy are we losing?
Hivi hili la Trent Alexander Anord kua na assist moja EPL msimu huu nayo imekaa nje, nini kimemkuta huyu chief whip wa ma assist makali sana. Je tukiachana na uzee wa kikosi nalo hili halijachangia kikosi kukosa ukali wa magoli..
YNWA
Kama wamemchukua Jorginho kwani hawamuoni Milner huku? [emoji1787]Aaron Arsenal hivi kwa huyu Jorginho mmeona nini maana namuona dogo kama Kieta aliechangamka[emoji23][emoji23][emoji23]
YNWA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii timu ni kama imekufa kabisa, hata kupiga chafya hakuna jamani. Au mnataka kuingia top 4 kwa imani?
On Deradline Day
- Man United - Marcel Sabitzer
- Chelsea - Enzo Fernandez
- Arsenal- Jorginho
- Liverpool- James Milner 5 year contract extension
Milner tuwape bure na mshahara kwa miezi sita tutalipa nusu😂😂😂Kama wamemchukua Jorginho kwani hawamuoni Milner huku? [emoji1787]
Armageddon simply the worst case scenario.Imagine CB zako ni Gomez $ Magwaya
😂 😂 😂 😂 Nunez mara chache sana anacheza kati kutokana na majeruhi ya Diaz na Jota.. Hao watapona tu tuone mambo mazuri kutoka kwake.Anamuasistia Nunez, unategemea nn hapo
Basi kama lengo ni maslahi wanaolipwa kidogo watacheza kwa kidogo chao na wa kingi hivyo hivyo wala tusinune.Japo Salah sio Messi au Ronaldo(business wise) lakini kibiashara pale Liverpool yupo juu sana anauzika zaidi ya wachezaji wengine hivyo analeta mpunga wa maana kwa timu. Kwa mfano mauzo ya jezi tu Salah peke yake anachangia asilimia 35 ya mauzo yote hivyo ingekua ni uzembe kumwachia Salah kuodoka Liverpool regardless matokeo uwanjani yapo vipi kwa sasa.
Ukifuatilia kwa kina utagundua kwamba mikataba mingi ya wachezaji Liverpool ipo capped kwenye incentives zaidi hivyo inakua win win situation kwa Liverpool na kwa mchezaji husika.. Utakuta kwa mfano Salah kila jezi inayouzika ana asilimia kadhaa pale inayoingia kwenye mshahara wake...
Mwaka 2021 Salah alikua tano bora kwa mauzo ya jezi duniani..
Mkataba wa Liverpool na Nike upo kimslahi sana kwamba kila jezi au merchandise inayouzwa chini ya Nike basi! Liverpool wanapata asilimia 30 au 20 ya mauzo hayo, malipo hayo ni nje ya zile £30m kila msimu Nike wanalipa ina maana kwa msimu Nike wanalipa £70m+ pale Liverpool. Mkataba ule ni based on incentives pia.
Salah anapata anachostahili japo kama mchezaji ana mapungufu yake lakini fursa ya kucheza Liverpool ameitumia vyema kujijenga ki soko na kampuni nyingi tu kama Pepsi, Oppo, Vodafone, Adidas nk zinamtumia kutangaza bidhaa zao.
Huku kupoteana kwa Salah Klopp amesema ni kwa kukosa utulivu wa wachezaji aliozoea pale mbele Firmino na Mane. Lakini pia sikutegmea Salah afunge sana wakati timu kila idara imechuja sana.
YNWA
Kocha Ndiye kampendekeza ,na alimuhitaji toka zamanAaron Arsenal hivi kwa huyu Jorginho mmeona nini maana namuona dogo kama Kieta aliechangamka[emoji23][emoji23][emoji23]
YNWA
Oyaaa[emoji1787]Deadline day deals:
Chelsea - Enzo Fernandez
Arsenal- Jorginho
Man United - Marcel Sabitzer
Tottenham - Pedro Porro
Liverpool- James Milner 2 year contract extension[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Am really impressed na spidi ya Manchester United yaaani within 24 hrs kuumia kwa Erickson na kufahamika kua atapona April sasa wakatua mazima kwa Sabitzer.Deadline day deals:
Chelsea - Enzo Fernandez
Arsenal- Jorginho
Man United - Marcel Sabitzer
Tottenham - Pedro Porro
Liverpool- James Milner 2 year contract extension[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Deadline day deals:
Chelsea - Enzo Fernandez
Arsenal- Jorginho
Man United - Marcel Sabitzer
Tottenham - Pedro Porro
Liverpool- James Milner 2 year contract extension[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]