Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Unapata tabu bureee kumuelewesha mtu ambaye mpaka Partey (engine ya Arsenal) anamlalamikia kua ni Zero IQ.

Ila mwanangu Will Jr siku hizi umeanza kukua umepunguza sana matusi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Nini maoni yako kuhusu transfer policy ya City season hii?wameuza zaidi na wamenunua cheap Akanji...
Liverpool tumeanza kuzidiwa na hawa wanao Tu copy?
Pep Guardiola ana unlimited funds, na pia kitu cha ziada anajua ni wakati gani wa ku-let players go.

Sterling was already declining, and it was a perfect time to sell him, uzuri ni kuwa replacements tayari zilikuwepo kwenye club, na akama Sterling angebaki angeweza kuwa surplus kwa Pep, especially the way Pep alivyoi-shape attacking line yake kwasasa, and with Haaland and Alvarez at the club, hakukuwa na need ya kuwa na Gabriel Jesus, so they had to sell him.

Man City wanatupita sisi, kwasababu transfer policy yao inawaruhusu ku-take risks kwenye market, Laporte & Stones wamekuwa na matatizo ya injuries ya mara kwa mara, ni kama sisi kwa Matip & Gomez, sasa wenzetu huwa hawasubirii mpaka maji yamwagike, signing ya Akanji ilikuwa ni ku-cover void za Laporte/Stones, na sometimes kuruhusu Dias kupumzika kwa kiasi kikubwa, sisi hii starehe hatuna as our main CB VVD huwa anapata nafasi chache sana za kupumzika kwenye league/CL, mara nyingi huwa anapumzika kwenye FA/EFL games, but at City, ukiwa na a fit Ake, Akanji or even Laporte & Stones, inakuwa rahisi sana kumpumzisha Dias, na Pep ni mzuri kwenye fitness management.

But, again yote hii inakuja kwenye suala la kuwa na good owners, ambao wanaelewa essence ya football, on paper our CB department inaonekana iko full sana, but now unaona injuries to Konate & Matip, we are left with VVD, Gomez & Nat who is not good at all, so huwezi kumpa VVD nafasi ya kupumzika au kum-rotate na Nat, na kwasasa kama VVD akiumia, we will be lining up na partneship ya Gomez + Nat.

Pia, tutoe credit to kwa Manchester City, wanajua ile art ya kupitia/kuangalia ni jinsi gani wanaweza ku-cover gaps kabla ya msimu kuanza, ndiyo maana unakuwa team yao ipo full kwenye kila idara, unless itokee injury crisis kubwa sana.
 
Suala la muda kwa Nunez.

Sijaacha kumuamini. Bahati kwake amekuja wakati timu haipo form hata kidogo.
Timu iki click namgurantee kufikisha 15+ goals this season.
Atleast sasa Klopp kafungua macho na masikio vyema ameona 433 ilivyokuwa chungu season hii.
Best of luck to us, ile 1-7 ya rangers na city it has to be our wake up call yetu
 
People are doubting Klopp talent ID kwa attackers? developing attackers ni moja kati ya eneo ambalo analimudu sana, Jota wa sasa ni tofauti kabisa na yule Wolves, Klopp huwa ana-find it so easy kufanya kazi na rapid attackers, na being rapid ni moja kati ya best traits alizonazo Nunez.

Nunez is GOOD, na i didnt even flinch, fee yake ilivyokuwa reported, because i knew kile anachoenda ku-offer.

Tatizo, football fans are so spoiled, wanataka kila mchezaji adjust kwa haraka zaidi even if system iliyopo haimpi confidence, LIverpool ambao wapo on Nunez ears, ndiyo waliokuwa wanam-bash na kumuita Fabinho a FLOP during his early days at the club, bila ku-factor kuwa anachezeshwa kwenye mfumo ambao hajawahi kucheza kabisa.

You see, football fans thinks football is easy, kwamba ni kama kucheza draft, kila mchezaji ana style yake ya uchezaji, na ndiyo maana unapokuwa unafanya profling lazima ung'amue kuwa style ya huyu mchezaji inaingia kwenye set up/mfumo upi, maana kama mfumo/set up itapingana na aina ya uchezaji wake, basi unahatarisha career yake, na ndiyo maana mara nyingi unakuta talented players wana-flop kama kocha na his tactical bench wasipokuwa makini, na ndiyo maana WC coach huwa wanakuwa tayari ku-tweak shapes za team zao ili kuhakikisha mchezaji anafanikiwa, japokuwa siyo wote wanafanikiwa katika hilo, mfano tu at Utd, Ten Hag didnt want Casemiro, his first choice was De Jong, possessional oriented CDM, different kabisa na Casemiro, so ili Casemiro a-prove his worth, Ten Hag anatakiwa a-tweak his fast paced & direct football ili kumu-accomodate Casemiro? so yupo tayari kupunguza threats za Eriksen, Bruno kwenye MF kwaajili ya Casemiro? because kama ukikata threats za his 2 8s, unaua kabisa direct pattern ya his attack, so its either Casemiro a-adjust au Ten Hag a-tweak his shape, is it worth it? for Haaland? yes, for Nunez? yes? but for a 30 year old Casemiro ambaye ni one dimentional DM?

Pia kuna players ambao wakiwa available on the market, hutakiwi kuwaacha, when Nunez became available, ilikuwa ni no brainer, you grab that chance, especially kipindi ambacho Mane alikuwa anaondoka and Firmino ku-turn 31 year-old, we NEEDED Nunez, no way club ingeacha hii nafasi ipite, na worse case scenario aende United.

Nunez ni proper number 9, na nilisema kila game atayoanza atafunga na ku-create a lot of chances, people should be happy, that we have got ourselves a gem, top class number 9, ambaye tukakuwa naye for years, only 23 na he is determined to prove all his doubters wrong, you can see it in his eyes, we have got a fighter and a winner in our hands.
 
The past doesnot play now.
 
Do you think trent will be converted to a RM?

I watched him vs Westham again yesterday, tracking back has been a problem for him now

Mkuu mbona iko wazi kabisa ni kwamba TAA anakuwa anaenda mbele na hayo ni maelezo ya klopp.akikaa nyuma tu yote hayawezi kutokea kama milner alivyofanya kwa foden dhidi ya man city alikuwa muda mwingi yuko nyuma tu mipira yote anayopata foden milner huyu hapa anakuwa achelewi kurudi.

Hakuna haja ya kumraumu.
 
Do you think trent will be converted to a RM?

I watched him vs Westham again yesterday, tracking back has been a problem for him now
Mkuu, its tempting, kutokana na traits alizonazo Trent, ana kila aina ya tactical trait ya kucheza as RM in a 442

  • Chance(s) creating merchant
  • World Class Passer
  • Standard & effective Pace
  • Strong ball carrier
  • World Class Vision (Line breaker)
  • etc

Traits zote hizi anazimiliki Trent, but my worry ni kuwa he's so short of confidence now, for the past few years Trent alikuwa ame-improve a lot katika suala la ku-defend, though he had prime Wijnaldum, Henderson & Fabinho in the MF, so it was so easy kwa yeye ku-build, kujifunza na kujiimarisha zaidi katika kuzuia, last season ambayo imeisha few months ago, alikuwa ni one of the top DEFENDERS in the world, na alikuwa ni one of our most consistent player throughout the season, hence amemaliza nafasi ya 22 kwenye BDO rankings, so hii bad patch anayopitia sasa ni ya muda tu, huwa inatokea kwa kila mchezaji, tumeshuhudia kwa kina Salah, Mane, Robertson, Firmino, Matip, VVD, Fabinho etc, tena Fabinho now is really struggling na hii siyo mara ya kwanza kwa Fabinho, so kama ni real football fan, huwezi kupata shida kuhusu hili, though huwa tunaombea tu hizi bad patches zisiwe zinatokea kwa wachezaji muhimu sana, na ukiangalia, ukiachana na Trent kuwa out of form, ni wazi kuwa shape tuliyoanza nayo msimu huu ilikuwa haimpi uhuru au kuwa comfortable (tumeelezea sana), it happens.

He was good in a 442 against rangers, na pia he was good in a 442 against Westham kwenye kipindi cha kwanza, though alitoka mchezoni tena baada ya sub ya Thiago & Nunez kwenye dakika ya 60, as Klopp reverted back to 433 na tukapoteza control yote ya game.

So its up to Klopp, kuangalia anaweza kumrudisha vipi kwenye form, ku-change set up na formation ni good start.

Mkuu, naona kwa Trent kucheza as RM, tutahitaji two good & strong defenders on our RHS, ili kutoa burden kwa Trent ya ku-defend na kucheza as a free creator from the right side, so utamuhitaji Gomez at RB na Konate at RCB, both ni strong & pacey defenders na good katika counter-pressing, so maybe, i mean MAYBE, akirudi Konate, Klopp anaweza kuwa tempted.

But for the meantime, OX amerudi, RM is his bread & butter, kama unavyojua a fit and firing OX is our best RCM, he knows how to play that right side, ana attribute zote za ku-shine at RM, and for the first time in a long period tunacheza mfumo ambao unam-favour to a tea, so i pray Klopp, alione hili, kumchezesha OX at RM, kutabadilisha msimu wetu wote, because that is his position, problem ni kuwa he got frozen out last season, so hatujui kama uhusiano wake na Klopp umerudi kuwa sawa, maana last season uliharibika. But its time kuweka personal feelings pembeni na kujaribu kurudisha msimu on the track, play Ox at RM and Carvalho at LM in a 442, and we will cruise games.

Trent should stay at RB, he has a legacy to proctect & build, we need to support him now, its the first time in his career anaingia kwenye bad patch, na pia bado hana uhakika wa kwenda WC, so hayupo good mentally, unajua dogo kakulia maisha marahisi sana, hajapata rabsha zozote, kakulia kwenye LFC academy, kakulia kwenye family inayojiweza, he's making a lot of money now but bado anakaa kwa wazazi, free time yake anatumia ku-DM kila mwanamke instagram, and funny thing is, you cant fault him, he's human afterall, na he's turning 24 soon, wote tumefanya stupid mistakes tukiwa around hiyo age, so its not suprising, na ule umayai wake unafanya iwe ngumu zaidi kukabiliana na bad patch yake because kila pundit, rival fans, jornos etc wapo on his ears, and on top of all, Southgate dissed him hadharani (kwenye media), so he's struggling mentally, tofauti na kina Fabinho ambao wamekulia favela, dangerous and rough places ni kama useme Manzese au Buguruni ya Bongo, so ni lazima atakuwa strong sana mentally, hawezi kuwa phased out na small bad patches, same kwa Firmino, same kwa Nunez, Diaz, Mane, Salah, Keita etc, ambao they had to rise, they had to dig deeper ili kutoka kwenye slums, kutoka kwenye kucheza peku, kutokuwa na hela ya gozi, hela ya nauli ya kwenda uwanjani, hela ya viatu, hela ya nguo, kushindia mlo mmoja, kulala chumba kimoja na dada & brothers, etc, mpaka kufika Anfield, Liverpool, so hawawezi kuwa phased na stupid jornos, stupid pundits, stupid LFC & rival fans, VVD alikuwa anaosha masufuria, sahani etc kwenye migahawa, Robertson was at one point jobless, na ana relegation on his football CV, huwezi kum-phase au kumtingisha akiwa na bad patch, so Trent kalelewa tofauti na hata kupokea negative reaction inakuwa ni ngumu sana kwake ku-process.

So acha tumlee kimayai, tumpe muda, ana watu kwenye dressing room ambao watamsaidia, kina Thiago, Alisson, VVD and Uncle Milner, so i think atarudi, na mimi siku zote huwa sikatii tamaa TALENTS, kwasababu ni moja tu, they will always PROVE you wrong.
 
Looking at our fixtures now, mpaka WC, i think game ngumu on paper ni Spurs tu.

so i'd be tempted to give Fabinho a big rest, he's fatigued, he needs to sit down for a minute, kabla hajapata a long term hamstring injury, and you dont want him to stay out for that long.

With Ox and Keita back in training, nadhanu its time Henderson apate a run as a 6 in a pivot, then rotate Keita & Thiago at LCM mpaka WC, maybe give Fabinho minutes kwenye CL games na game ya Spurs, but sioni ulazima wa kumpa minutes kwenye game ya saturday na ile leeds, unless kama ni 15-20 minutes, because he needs a rest, because ukiachana na umuhimu wake, akiwa kwenye bad form huwa anakuwa ni m-bovu haswa. so rest him, let him get a full rest, give him few minutes here and there mpaka atakapokaa sawa, though Spurs away is a must start.

Surely Henderson can provide a good cover at 6 kwenye hizi easy fixtures? he was good against Rangers, and was good against Westham, so i cant see why ashindwe ku-deliver against Nott & Leeds, two struggling teams at the moment, na kama akishindwa ku-step up, whats the point then? he's a Liverpool captain and even for his standard, he should be able to deliver kwenye hizi next two fixtures.

But, again, akicheza na tukifungwa/draw kwenye hizi fixtures, nitakuwepo hapa kujenga kibanda kwaajili ya kum-scapegoat, thats how we do baby.
 
Keita back, means we are safe with Thiago.

Msimu uliopita, tuli-manage ku-compete kwenye kila trophy kwasababu tuliweza kuwa-keep Thiago & Keita fit for longer periods.

You can hate on Keita, but he's the closet thing to Thiago, ndiyo mchezaji pekee at the Club anaweza ku-replicate kile anacho-offer Thiago at LCM.

So ni good news.
 
Captain Marvelous nini maana ya RHS ? maana naona kwangu kama terminology mpya toka jana Mkuu MosDef alikuwa anaabdika
RHS - Right Hand Side

LHS - Left Hand Side.

At Liverpool.

Our RHS ni;

Trent/Ramsay/Gomez (kama akicheza RB)-Henderson/Elliot/Ox- Salah/Nunez kama akicheza at RW.


Our LHS

Robertson/Kostas-Thiago/Keita/Carvalho-Diaz/Jota kama akicheza LW/Nunez kama akicheza LW

so ukiangalia hapo utaona ni side gani ambayo inahitaji maboresho.

We need RCM & another RW, but RCM is a Must this January.
 
Captain Marvelous nini maana ya RHS ? maana naona kwangu kama terminology mpya toka jana Mkuu MosDef alikuwa anaabdika
RhS ni yafuatayo..

~ Interchange of Positions

+Defenders stepping into midfield

+Penetrating runs from midfield

+Forwards dropping into midfield

Ukitazama our link of play utaona kwa mfano Trent plays defence cum mf cum winger interchanging position with flow of th balls..

MosDef can elaborate more on this.


YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…