Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,470
- 32,917
Kweli hii gemu inahitaji Matip kwa ajili ya kutembea na mpira maana MF wa Unai wanakua 1st line ya defence yake hivyo kwa Matip ingemfaa ili kutanua uwanja Salah na Henderson na Trent wapate njia ya pasi ama ya kuwavuruga pale nyuma.Kikosi kiko sawa japo me nilikuwa nataka aanze matip hapo nyuma.
Oooh! Asante mkuu, hapo nimepaelewa!Wanaenda dk 120
Ondoa hayo mawazo kabisa yaani usitegemee City kwenda kufanya makosa kama aliyo yafanya jana huko uwezekano wa Madrid kugongeshwa tena upo.Kwa hiyo kama Real Madrid akishinda goli moja nani anaenda fainali sasa?
Huo ndio ukweli Madrid atapigwa tena home, Liverpool na City wapo level za peeke yao sasa hiviOndoa hayo mawazo kabisa yaani usitegemee City kwenda kufanya makosa kama aliyo yafanya jana huko uwezekano wa Madrid kugongeshwa tena upo.