Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kikubwa nilichojifunza leo ni Liverpool na mashabiki wake kukosa ubinaadamu pamoja na utu hata kwa wafiwa.
Watu tupo kwenye huzuni ya msiba badala ya kuwafariji wafiwa nyie ndio kwanza mnatuongezea simanzi.
Kikweli kabisa sijazipenda tabia zenu.
 
Kikubwa nilichojifunza leo ni Liverpool na mashabiki wake kukosa ubinaadamu pamoja na utu hata kwa wafiwa.
Watu tupo kwenye huzuni ya msiba badala ya kuwafariji wafiwa nyie ndio kwanza mnatuongezea simanzi.
Kikweli kabisa sijazipenda tabia zenu.
liva ilishatoa rambrambi zake dskika ya 7 ya mchezo

natanguliza shukrani
 
Nawapongeza sana kwa ushindi, nitarudi kupambana nanyi kwenye fainali.
London is blue πŸ’™πŸ”΅πŸ’™
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…