Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Maskini kajota[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tatizo kanakimbiaga mno
Na kakiushika Mpira aisee huwaga hakaachii kirahisi .
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kana mishe kama zote na baada ya kufuzu kombe la Dunia naona amepata ari, nguvu mpya.

YNWA
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]All the best sasa huko itakua rahisi mtakutana na Matip Hahaha kazi kwako sasa.

YNWA
Ntakuwa nanesesha shingo kama Matip [emoji847][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ataniona[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ntakuwa nanesesha shingo kama Matip [emoji847][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ataniona[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi ukipewa dakika 3 tu ukutane na Matip ungewambia aje kiasi upate mwaliko kutazama mechi ya Mwisho Msimu huu Liverpool vs Wolverhampton pale Anfield Mei....

YNWA
 
Hivi ukipewa dakika 3 tu ukutane na Matip ungewambia aje kiasi upate mwaliko kutazama mechi ya Mwisho Msimu huu Liverpool vs Wolverhampton pale Anfield Mei....

YNWA
Nadhani ntafurahi hadi ntakosa cha kumwambia zaidi ya kulia kwa furaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kanakimbia mno yaani
Hahaha yupo moto kafunga goli la 20 msimu huu na ndio mara ya kwanza kufunga goli 20 tangu aanze kucheza professional football.

Chini ya Klopp hakika sky is the limit kwa hawa ma dogo yaaani washindwe wao tu maana kila mbinu wanapata namna ya kujiposition nk

YNWA
 
Nadhani ntafurahi hadi ntakosa cha kumwambia zaidi ya kulia kwa furaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ...

Ana akaunti yake twitter inaitwa no content haha anapiga ela sasa kimya kimya kama hayupo vile..

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…