Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,470
- 32,921
Patrick Schick huyu dogo kwa kweli hua namkubali balaa sijui Klopp hamuoni ama ni vipi...
Duuh mkuu una kifua huna cha kupoteza ndio maanake upigwe goli 4 kwako kwa 1 like serious tena ukiwa kamili...Unataka kujua sisi ni nouma kiasi Gani? Leo tumepoteza kwa sababu hiyo Sasa ..kipigo kizito kitashushwa hiyo jumatano hao Madirid na nyie matakataka mamluki mujiandae maana sisi hatuna Cha kupoteza hasa kwenye game za mtoano.
Unajua Nini kitatokea? Kaa kwa kutulia, tunza hii comment.
#CFCforeverπππ
sikuhizi siangalii sana mechi zetu, hazinipi raha maana naangalia nikiwa na hali ya presha kubwa ya kupata ushindi. Bora niwe napata tuu matokeo
Mbona unaandika huku unatetemeka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unataka kujua sisi ni nouma kiasi Gani? Leo tumepoteza kwa sababu hiyo Sasa ..kipigo kizito kitashushwa hiyo jumatano hao Madirid na nyie matakataka mamluki mujiandae maana sisi hatuna Cha kupoteza hasa kwenye game za mtoano.
Unajua Nini kitatokea? Kaa kwa kutulia, tunza hii comment.
#CFCforever[emoji170][emoji170][emoji170]
Unaongea kama unaipozapoza hv.Unataka kujua sisi ni nouma kiasi Gani? Leo tumepoteza kwa sababu hiyo Sasa ..kipigo kizito kitashushwa hiyo jumatano hao Madirid na nyie matakataka mamluki mujiandae maana sisi hatuna Cha kupoteza hasa kwenye game za mtoano.
Unajua Nini kitatokea? Kaa kwa kutulia, tunza hii comment.
#CFCforever[emoji170][emoji170][emoji170]
Watoto mna taabu sana.Nanunua screenshot Liverpool akiwa top of the table ...mwenye nayo aje ..ofaaaa 200k
Hongera kwetuSALAH IS GETTING A NEW DEAL.
TUMESHINDA.
Kwa jinsi dunia ilivyo kuna watu wamechukia huku wakijifanya kuwa ni Wana LFC fansSALAH IS GETTING A NEW DEAL.
TUMESHINDA.