Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Jooootaaaa

This man is unstoppable
I think there many many goals to come
 
Baada ya kupoteza Consistency kwenye michezo kama 5 iliyopita naona Jota amerudi mchezoni.
Hope katika mechi zilizobakia msimu huu hatapoteza Consistency
 
Huyu Roy Hodgson umri huu bado tu anang'anga'nia Ukocha? Ningemshauri astaafu tu tena akacheze na Wajukuu
 
We jamaa story nyingi afu za uongo uongo klabu gani ulaya inatoa mkataba wa mwaka mmoja. Salah ajazaliwa Liverpool yupo kazini na kimsingi thamani anayo hivyo ni haki yake kudai. Mpira ni ajira ya kipindi kifupi sana asipo dai sasa hivi unataka adai lini?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…