Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

On Spot Assessment.

Before the game Klopp alisema yale yale yaliotoke jana. Sielewi huko maadalizi kama haya aliyajua hawakua prepared ni hii threat ama..

Speaking ahead of the contest, Klopp said West Ham’s three biggest strengths was their ability to counter-press effectively, their high energy in possession as well as the attacking threat they pose going forward.

YNWA
 
Tumepoteza Mchezo wacha tufocus kwenye next game.

  • Kuna magoli mawili hatukustahiki kufungwa hivyo Backline yetu imekuwa dhaifu sana na Kipa ameshuka kiwango.
  • Westham wamedeserve Points 3
Mkuu kwani Leo ndiyo unaona kuwa mabeki wenu ni madhaifu? Hilo mbona lilikuwa wazi. Kuna siku niliwahi kusema Liverpool wanawashambuliaji wazuri ila beki hakuna.

Unakuta mnafunga magoli mengi lakini lazima mabeki zenu waruhusu magoli zaidi ya mbili tena wanageuzwa na si kwa bahati mbaya.

Angalia mechi yenu na Bredford wote mlitoa drow ya tatu tatu magoli yote ni open space hakuna cha penalty wala nni.
Mechi yenu na Atlentico na Jana na West ham.

Niongezea na kusema siku mafowadi zenu wakishindwa kufungwa magoli zaidi ya tatu basi siku hiyo lazima mliwe.

Sasa yametokea Jana na hii bado itajirudia.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kabisa kufungwa mechi moja haimanishi kuwa kila gemu utafungwa. Mafowadi zenu wanatakiwa waongeze ufungaji wa magoli kuanzia tatu na kuendelea kwasababu mabeki wenu wanaruhusu sana magoli.

All in all bado timu yenu nzuri na inamuunganiko mzuri.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hii 4 3 3 ndugu yangu ndio anatumia Pep miaka yote pale Manchester City na pia ndio anatumia Klopp hapa kwa majogoo kimsimgi ni mfumo unaotegemeana kuanzia mbele mpaka kwa kipa sasa ikitokea eneo moja paka pwaya basi ujue kipigo kipo...

Timu bado ipo vizuri sana ukizingatia na majeruhi tulionayo ndio kabisaaaa..

Mbio hizi msimu huu ngumu, natarajia kuona changes kwa Klopp na kuombea hawa wachezaji hili gudu la majeruhi litupite mbali..

Kwa timu zinazo defend kama jana walivyofanya Westham basi hua tunakosa mchezaji sahihi wa kutoa zile pass murwa sana ndio maana jana Robertson na TAA walikosa new dimension ya kufikisha pasi eneo la hatari maana wapinzani wetu walijua fika wakifunguka tunawapiga..

YNWA
 
Ligi ya msimu huu ipo wazi sana unless mpaka mwezi wa 12 mwishoni Ndio mbio za ubingwa zitaanza kuonesha uhalisia wake. Ila Man city, Chelsea na Liverpool baado ni title contenders YNWA
Ni open sana msimu huu...

Kwa majeruhi wa Chelsea na Liverpool na bado tupo in the mix ni ishara njema sana kwamba Pep hatakimbia na huu ubingwa..

YNWA
 
LC ya mwaka huu ni very weak, hata tukicheza under form tutawafunga tu, hapo Werner, Lukaku, Mount, Kante, Kova na Alonso watakuwa wote fit
 
Mkuu Hata vvd alichezewaga vibaya refa na var wakasema sio faulo,Baada ya mechi anakili kuwa ilikuwa faulo na alitakiwa atoe kadi.

HAtuwezi kulala mika kwa sasa kwakuwa tumefungwa maana tutaonekana tunatafuta vizingizio .
Ile foul ilichezwa ila haikufikia level ya red card, serious attack yenye kuleta hatari kwa victim ndio inatolewa red card
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…