Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mzee wa kupanchii upepo hewani kakutana na mhuni El cholo ...

Katulia Kama maji mtungini
 
El cholo naona kama anaugomvi na Klop...amemwekea Klop baridi ghafla.

El Cholo anatamba huku Klop amejikumbatia kama amenyeshewa mvua.
Hapa nasubiri goli moja ya Dortmond na moja Sharrif then navuta 5milioni....hizi betting ni pressure tupu
Anatamba nini wakati yupo geto kwake na anahangaika kuchomoa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom