Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Klopp out!!
 
Jambo muhimu zaidi Klopp ajipange kwa Mikakati imara ya usajili msimu ujao then ajipange na mbinu mpya za ushindi na sio zile za 4-3-3
Mhe. King Ngwaba, with due respect, 4-3-3 sio mbinu bali mpangilio tu wa wachezaji uwanjani. PEP anatumia daima hiyo formation na kupata matokeo. Formation inaendana na wachezaji walioko kwenye form. Tatizo dogo la Liver ni Klop kuwatoa Fabinho na Henderson pale katikati na kuwapeleka kwenye CB. Ukabaji mkubwa uko kwenye midfield na hao wanatakiwa kuwalinda mabeki na kipa. So mimi naona hao wakirudi kwenye nafasi zao na mabeki wale wageni wakazoea EPL mambo sio mabaya sana
 
Liverpool dramatic collapse...

Are injuries an excuse?


According to Premier Injuries data, Liverpool had lost a league-topping 1,029 days from injuries this season as of March 1 - factoring all reported injuries sustained since the opening weekend and lasting nine days or more.

So the current injury crisis has certainly contributed, if not caused, the collapse in form - but also highlighted a lack of depth, reliance on key players and dependence on playing style.



Sky

YNWA
 
  1. Joachim Löw quits as the manager of the german national team after the upcoming Euros
  2. Klopp: "I will not be available as a potential coach for the German team. I have three years left at LFC don't I? It's simple. You sign a contract and you stick to that contract. I stuck to contracts at Mainz and Dortmund."
 
LIVERPOOL TEAM NEWS

Team to face RB Leipzig: Alisson, Alexander-Arnold, Phillips, Kabak, Robertson, Fabinho, Wijnaldum, Thiago, Mane, Salah, Jota.

Subs: Adrian H. Davies, Milner, Keita, Oxlade-Chamberlain, Jones, Tsimikas, Shaqiri, Origi, D. Davies. R. Williams, N. Williams.

Come on Reds give us some good moments.

YNWA
 


Man where is Firmino? What reasons he is out for ?
 
Mtasonga mbele kwa matokeo ya nyuma mliopata lkn h timu ishakufa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…