Sio kosa langu ni kosa la mwalim.Sijui kama umeelewa point yetu.
Sijui kama umeelewa point yetu.
nikiwa kama mshereheshaji wa liverpool halisi kwa siku ya leo naomba nikujibu ifuatavyo:
captain hendo ni tunu ya liverpool akiwa popote (ndani na nje ya uwanja), hivyo basi kitendo chake cha kujitolea (sisi tunaamini hendo ana uwezo wa kugomea hiyo position na isiwe kesi kwa klopp) kucheza nafasi ya beki ni cha kuthaminiwa na kujadiliwa zaidi na wapenda maendeleo ya liverpool kuliko hao wengineo uliowataja (fabinho na gini).
hao wengine (fabinho na gini) hata kama wataendelea kuchezeshwa nje ya maeneo yao yaliozoeleka hatutoweza kusikia wasifu wao uliojaa utiifu kutoka kwa washirika wetu wakubwa kama vile pundits wa kiengereza na vyombo vyao vya habari, bali tendo hilo litachukuliwa kama njia moja ya kutimiza wajibu wao wakiwa kama waajiriwa wa hapo anfield.
=================
Duuh unakumbuka Aguero anapiga goli lenyewe lipo linamtazama tu...
YNWA
Kwani hata wangeanza kuna kitu gani kipya wangekionyesha.Aiseee kwa kikosi hiko hamchomoki
Salah out
Boby out
Hendo out
Keita out
Hakuna mwenye mguu was kufunga kama salahKwani hata wangeanza kuna kitu gani kipya wangekionyesha.
Sio kosa langu ni kosa la mwalim.
Ninacho jua humu mjengoni kwenu kuna makundi mawili, HALISI pamoja Pep.
Nilicho elewa mimi kwenye ile comment yako nikua unataka kuhusisha mambo ya makundi kwenye mjengo wetu.
Ikiwa nimetombesha maneno zimia kwenye gia.
Hata akiwa off from acheze tu kwa sababu tu ana mguu wa kumfunga,na hii ndio imesababisha mechi 4 zilizopita hata kufunga goli tumeshindwa kwa kucheza kwa mazoea.Hakuna mwenye mguu was kufunga kama salah
Liverpool nzimaaa