Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,470
- 32,917
Ishu hapa sio levo mbali tumetoa sare nne kwa hawa jamaa wakiwepo uwanjani wa siku zote...Huyo Takumi bado hajafikia livo ya Boby mbovu labda apangwe kwa lengo lakumtishia nyau Boby
Nakuelewa sana ndomn nkatumia neno kumtishia nyau akishtuka ndo imeisha hiyoooIshu hapa sio levo mbali tumetoa sare nne kwa hawa jamaa wakiwepo uwanjani wa siku zote...
Kama ambavyo Selhurst Park Klopp alimuacha Salah benchi na Takumi akafunga na leo vile vile inawezekana..
Kwenye mpira ni kujaribu kinachoweza kuleta pointi ndugu hakuna uhakia its all about gambling at times na hawa ma amateur uliona gemu ya Barcelona bila Salah pia Klopp gambled na Origi its paid big time hivyo lets try our luck na ku drop mmoja pale mbele sio lazima awe Bobby...
YNWA
[emoji23][emoji23]Maneno mengi ya nini kaka?Baada ya mechi 3 za Mwanzo
- Washabiki wa Arsenal walipitia kila Uzi na kujitangazia kua mwaka huu ni Jino kwa Jino kwenye Title Contender.
Baadaa ya Mechi 7 za mwanzo:
- Washabiki wa Arsenal Wanapigania kutoingia Kwenye Relegation zone huku wakijipiga self Ban.
- Washabiki wa Chelsea walihamia hapa kujitangazia Ubingwa huku wakirandaranda kila Uzi kunadi wanamtaka Bayern.
Baada ya Mechi 14 za mwanzo:
- Washabiki wa Chelsea wajipiga self Ban huku wakililia uhai wa Lampard wamalizane nae huku Wanapigania angalau waingie Top 4.
- Manchester United wanapita kila Uzi na kuanza kujitangazia Ubingwa.
Kinachojitokeza:
- Wote wanahangaika kupambana na Liverpool lakini wanadondoka wao.
Episode itaendelea .................
Nimekusoma Mkuu Manga ML...Nakuelewa sana ndomn nkatumia neno kumtishia nyau akishtuka ndo imeisha hiyooo
Kujaribu ni muhimu mpira nao unazali japo kuna watu hawa amini
Ralph Hasenhuttl huyu jamaa mbishi balaa..[emoji23][emoji23]Maneno mengi ya nini kaka?
Wafunge kwanza vijana wa Ralph Hassenhutl ndo tuongee
Huyu kocha namkubali sana.Ralph Hasenhuttl huyu jamaa mbishi balaa..
Anachokiamini ndio hicho hicho wala humwambii kitu...
Ana msimamo kama Marcelo Beisra..
Great gaffers kuwepo EPL..
YNWA
[emoji23][emoji23]Maneno mengi ya nini kaka?
Wafunge kwanza vijana wa Ralph Hassenhutl ndo tuongee
Mechi itakuwa ni ngumu sana ukizingatia liverpool kushinda away mechi za Jumatatu huwa ni nadura sana, naweza kutabili sare tena katika mechi ya leoLeo Referee ni Mtoto wa Stan Collymore
VAR in charge yupo mtoto wa Jason McAteer
Hapo lazima Soton afe tu! Yani iwe mvua liwe jua tunamchinjia baharini.
Halafu wote walicheza pamojaLeo Referee ni Mtoto wa Stan Collymore
VAR in charge yupo mtoto wa Jason McAteer
Hapo lazima Soton afe tu! Yani iwe mvua liwe jua tunamchinjia baharini.
[emoji23][emoji23]Maneno mengi ya nini kaka?
Wafunge kwanza vijana wa Ralph Hassenhutl ndo tuongee
Mkuu tuache kidogo basi hizi timu zilizopo top 10 hazitupagi shidaMechi itakuwa ni ngumu sana ukizingatia liverpool kushinda away mechi za Jumatatu huwa ni nadura sana, naweza kutabili sare tena katika mechi ya leo
Mkuu tuache kidogo basi hizi timu zilizopo top 10 hazitupagi shida
James Ward prowse [emoji23][emoji23][emoji123][emoji123]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app