Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,470
- 32,922
. Ni kweli kabisa mkuu Ila hatupo serious kabisa wewe imagine tumetoa dro na Wale Albion tukiwa ANFIELD afu hao hao Albion wamepigwa na Leeds 5 wakiwa kwao Sasa pata picha Sisi hatupo serious wachezaji hawajitumi kabisa mkuuAsante sana kheri ya mwaka mpya pia..
Ubingwa upo mikononi mwetu endapo tu nafasi chache tunazopata zitakua magoli na huku Allison kuendelea kutulinda kutopoteza mechi...
Pamoja na kukataa tamaa kwa wengi juu ya matokeo hafifu tunayopata binafsi naona hatupo vimbaya sanaa..
Ifahamike usajili uliobadili hii timu na kutufanya serious contenders na hatimae kushinda vikombe hivi ni..
Aliison
VVD
Fabinho
Salah...
Kwa sasa hawa wawili hawapo VVD majeruhi na Fabinho hachezi nafasi yake hivyo tunakosa output yake pale kati..
Naamini timu yoyote yenye kikosi cha wastani kama yetu wangeteseka kuwakosa star performers wake kama ambavyo tunateseka sis japo tunakocha mwenye system inayowafanya wachezaji kung'ara hakika tushukuru kwa hilo..
In everything give thanks...
Future is bright...
YNWA
Leeds wanacheza high octane football and when they are on song they are unplayable.... Ni kweli kabisa mkuu Ila hatupo serious kabisa wewe imagine tumetoa dro na Wale Albion tukiwa ANFIELD afu hao hao Albion wamepigwa na Leeds 5 wakiwa kwao Sasa pata picha Sisi hatupo serious wachezaji hawajitumi kabisa mkuu
. Kumbuka tupo mbele kwa mchezo mmoja dhidi ya City mkuu naamini tutachukua ubingwa ila hizi masihara mpaka Lini sikatai kuwa Klop anajitahiji ila Vip kuhusu wachezaji kujitoa?Leeds wanacheza high octane football and when they are on song they are unplayable...
Cha msingi tunaanza 2021 tukiwa tunaongoza Ligi...
Kwa sasa tazama mazuri tu top in EPL na hizo disappointment zisuktishe sana ndugu Klopp wanajitahidi sana kurudisha vijana kwenye kiwango...
YNWA
Manchester City alipata pointi 98 na Liverpool alipata pointi 97..pamoja na mengi sana yaliyochangia ifahamike Manchester City msimu alishinda mechi zote 13 za kumaliza ligi (i stand to be collected)... Kumbuka tupo mbele kwa mchezo mmoja dhidi ya City mkuu naamini tutachukua ubingwa ila hizi masihara mpaka Lini sikatai kuwa Klop anajitahiji ila Vip kuhusu wachezaji kujitoa?
Kuna ule msimu City alichukua ubingwa kwa point moja ule msimu City hakuwa Bora ila kilichomfanya achukue ubingwa Ni kutokana na kuogopwa na timu pinzani Sasa Sisi Hatuogopwi kwasababu tukiwa uwanjani hatujitumi Tatizo kubwa hilo
Hendo wa nn [emoji51][emoji51][emoji51][emoji26]
Ili la kutojituma kocha ndo anasababisha kesha kariir tim yake hataki iguswe wachezaji wana uhakika wa namba pesha ya kujituma inapungua.. Kumbuka tupo mbele kwa mchezo mmoja dhidi ya City mkuu naamini tutachukua ubingwa ila hizi masihara mpaka Lini sikatai kuwa Klop anajitahiji ila Vip kuhusu wachezaji kujitoa?
Kuna ule msimu City alichukua ubingwa kwa point moja ule msimu City hakuwa Bora ila kilichomfanya achukue ubingwa Ni kutokana na kuogopwa na timu pinzani Sasa Sisi Hatuogopwi kwasababu tukiwa uwanjani hatujitumi Tatizo kubwa hilo
We ulitakaje kwani?...Everton kapigwa na West Ham
Kudadeki
Sisi tunaenda kuvunja daraja kuleWe ulitakaje kwani?...
Pambana kwanza na corona huko, michezaji takriban sita imetest positive,...Chelshit anaenda kujipigia miti kiulaini sana....
Hamuwez kumfunga Chelsea ..subiri ujionee mwenyeweSisi tunaenda kuvunja daraja kule
Goli sita tunampiga chelsea Kama kawaida
Aya mnasemaje??
Aya mnasemaje??
Nataka mniambie bado mnatu-rank nyuma ya City,Spurs na Chelsea?..Hilo tu,Man U ni Bingwa! Au kuna la kusema zaidi ya hili?
Nina hisia kuwa huenda sisi ndo tukaivunja ile EPL fortress yenu ya hapo Anfield..nina confidence kubwa sana kuhusu hili.Karibuni kileleni, tar 17 mtatoka huko mrudi chini.
Karibuni kileleni, tar 17 mtatoka huko mrudi chini.