Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Klopp akiongea na wanahabari juzi baada ya game ya Westbrom alisema Thiago ana nafasi kubwa ya kutokuwepo kwenye kikosi.

Vipi kuna mpya zozote?
Noting New.

Thiago?????? Kwa Record yake ya Injuries ilivyo Mimi akicheza it's okay ,Asipocheza It's okay.
 

Personally ningetamani VVD asirudi msimu huu, ili msimu ujao arudi akiwa very fresh.

Kuhusu Thiago, Klopp sounds like the guy is not fit as he is telling us. Klopp is like buying time or playing with fans' minds.

I hope he is okay anyway.

How is my boy Jota, any news?
 
NEWS
Liverpool region moved into tier 3 so 2,000 fans no longer allowed into #LFC home matches at Anfield.
 
Jota will be back earliest around 16th Feb 2021 in time to face RB UCL fixture that the 1st competitive match he can play......

YNWA
 
Hahaha, yaani wanateseka kweli na hii kitu.
Ole anasikia eti EPL isimame anapinga kabisa si unakumbuka na sisi yalitukuta haya walivyosema EPL ifutwe msimu uliopita huku msimamo kwetu ulikua umependeza haha lol ndio Ole sasa ile feel good ndio wapo nayo sasa na anaona hakuna namna EPL isonge mbele haha...

YNWA
 

Nimeona hii ya Ole, hata Gary Neville anakataa hii.

Mimi naona lolote watakalo amua tu, maana tuko Kati kwa Kati.
 
Nimeona hii ya Ole, hata Gary Neville anakataa hii.

Mimi naona lolote watakalo amua tu, maana tuko Kati kwa Kati.
Unajua tangu aodoke babu Fergie hawa Stretford boys hawajawai kua optimistic kama walivyo sasa na matokeo uwanjani yanakwenda powa kwao japo jambo moja muhimu sana wanalisahau star player wao Bruno akinasa Covid haha wataadamana kwenda Brunel Building
57 North Wharf Road London kusema EPL isimame mazima πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚......

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…