Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
The Egyptian Pharaoh wins Big

Liverpool right winger Mo-Salah has been announced Fans' Footballer of the Year.

The veteran forward overthrew six fellow EPL Stars in a close contested vote to win the inaugural Fans' Footballer of the year prize after helping the Reds to clinch the title last season, scoring up to nineteenth goals and ten billiant assists.

YNWA
 
God forbid kati ya opponent ambao recently mmekuwa mnapata shida kupata matokeo ni utd... Salah alivua shati usisahau

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app

Yes nakumbuka, Salah hakuwa ameifunga Man Utd kabla, ndiyo maana alifurahi sana.

Naelewa rivalry ilivyo kubwa kati yetu, recently (atleast kwa misimu 3) tumekuwa na matokeo mazuri dhidi yenu. Draw OT, Anfield tunashinda. Na game ya 17 January iko Anfield.
 
Yes nakumbuka, Salah hakuwa ameifunga Man Utd kabla, ndiyo maana alifurahi sana.

Naelewa rivalry ilivyo kubwa kati yetu, recently (atleast kwa misimu 3) tumekuwa na matokeo mazuri dhidi yenu. Draw OT, Anfield tunashinda. Na game ya 17 January iko Anfield.
Honestly... I like it.

I hope game ya 17th itakuwa more interesting

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 
Siku hizi nafanya vitu kwa Moja Moja mpaka J/Mosi
Kazi lisaa limoja
Kupumzika lisaa limoja
Kuoga lisaa limoja
Maongezi lisaa limoja

Kila k2 Ni Moja Moja

Nyumbe wanasema ety wanamfukuza mwizi kimya kimya mfukuzeni ila Sisi twasema
Kwapaaaa juuuu Tena 2021
 
Huwezi kuamini Aisee! Manure sasa wanazungumzia Ubingwa while ni Top Four Contender

Kawaida sana hiyo mkuu,Ngoja nikukumbushe.

Ligi ilivyoanza mechi mbili za mwanzo Arsenal wakasema wanachukua ubingwa na kweli maana walishinda mechi mbili za mwanzo .

Ikaja Everton na Aston villa watu wakasema everton atachukua ubingwa maana alikuwa ajafungwa hata mechi moja,Aston villa yeye mechi 4 za mwanzo aliruhusu goli 2 tu zile goli zidi ya liverpool.

Baada ya hao akaja leicester watu leicester hatachukua ubingwa Safari hii,Baada ya leicester wakaja chelsea,wakatoka chelsea wakaja spurs.

Sasa wametoka Spurs wamekuja hao Man U.wakati huo liverpool tupo kimya tu.

Hao Man U,hapo hawanitishi watakuja na kuondoka kama wengine tu kwakua bado labda mechi kama 8 hivi zingepita za round ya 2,angekuwa yuko hivyo kama saizi ningeanza kumuwazia huyo bado kelele tu wala tusiogope.
 
Kawaida sana hiyo mkuu,Ngoja nikukumbushe.

Ligi ilivyoanza mechi mbili za mwanzo Arsenal wakasema wanachukua ubingwa na kweli maana walishinda mechi mbili za mwanzo .

Ikaja Everton na Aston villa watu wakasema everton atachukua ubingwa maana alikuwa ajafungwa hata mechi moja,Aston villa yeye mechi 4 za mwanzo aliruhusu goli 2 tu zile goli zidi ya liverpool.

Baada ya hao akaja leicester watu leicester hatachukua ubingwa Safari hii,Baada ya leicester wakaja chelsea,wakatoka chelsea wakaja spurs.

Sasa wametoka Spurs wamekuja hao Man U.wakati huo liverpool tupo kimya tu.

Hao Man U,hapo hawanitishi watakuja na kuondoka kama wengine tu kwakua bado labda mechi kama 8 hivi zingepita za round ya 2,angekuwa yuko hivyo kama saizi ningeanza kumuwazia huyo bado kelele tu wala tusiogope.

Tena baada ya VVD kuumia ndiyo kila mmoja alitutoa kwenye ramani kabisa.
 
Alikuwa hajawafunga na pia kwa aina ile ya ule mgoli na ule muasist toka kwa ab ,hata mie pale bandani nilionekana mwehu kwa kushangilia
Long pass ya kawaida na long run... Ilikuwa counter attack... Kipindi hicho nilikuwa nategemea mtu kama DJ akipige 90 mns ssa hivi vitu kadhaa vimebadilika

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom