Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Vi-ei_ara [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Bobby kawa tia maji
Hendo tia maji
Gomez tia maji

Duh
Hii game AB anatufichia aibu tu ila tuko weupe sana mkuu au me naona vibaya
Hapana ndugu hatupo vizuri na mtihani uliopo kwa wiki tu nacheza mechi 2 hivyo hata muda wa Klopp kuweka mambo sawa ni finyu kweli kweli...

YNWA
 
Tumetoboaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa


YNWAβœ”οΈβœ”οΈβœ”οΈβœ”οΈβœ”οΈ
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…