Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ollachuga Oc umeona kikosi cha Klopp? Thoe S. Mane hayupo ila leo hakuna mkeka utakaochanika. Jiandae kusikitika tu πŸ˜…πŸ˜…View attachment 1589714
Hapo golini tuna Martinez tuliwapiga Arsenal tumemchukua huyu naimani atachomoa michomo mingi game itaisha mbili kwa moja.
Tuna uhakika leo liverpool achomoki, hapo utajua kuwa ni muhimu kubaki darajani tu😎😎😎😎
 
Hapo golini tuna Martinez tuliwapiga Arsenal tumemchukua huyu naimani atachomoa michomo mingi game itaisha mbili kwa moja.
Tuna uhakika leo liverpool achomoki, hapo utajua kuwa ni muhimu kubaki darajani tu😎😎😎😎
Half time hiyo hapo mnaenda 0-0 na mkirudi mnapigwa πŸ˜…πŸ˜…
 
Niko Liverpool na sababu zangu na huyo Mr ni man Utd, na leo natamani Totten afungwe tu maana alinitolea Chelsea yangu kwenye ramani ya carabao bado sijapoa πŸ˜†


Leo mkeka hauchaniki, utaona.
Hahahaha Leo mambo yanaweza kwenda kombo, Spurs akashinda, AV chama letu tukashinda.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Lakini kwako najua Haina shida maana chama letu jana tumepiga mtu za kutosha.
 
[emoji777] Thiago OUT
[emoji777] Mane OUT
[emoji777] Henderson OUT
[emoji777] Matip OUT
[emoji777] Tsimikas OUT
[emoji777] Chamberlain OUT

[emoji777] Alisson now OUT

[emoji41][emoji848]
Prediction
1-2 Av- Liv ( Gini, Mo salah pen')
YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…