Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ka kweli TAA apatiwe mbadala wake haraka sana Leo hayupo tumeona madudu yaani sasa siku akiumia je..? Atacheza uyu janja mzembe?
Robo maji anayomwaga yote haya yanapitiliza .kati atuna finisher wa ukweli Leo mpk kina vvd wapande..

Firmino kwasasa si mchezaji wa kutegemea tena
 
Tukisema tusajili tunaambiwa tunajenga Future kwa kusajili Vitoto, ona sasa leo hayumo TAA basi mashambulizi yote yanatoka upande wa kushoto wa Robbo, Upande wa kulia hakuna shambulizi lolote.
Again Mikel homework is working so far his game plan is quite a catch...

Without a plan B i can see this going Mikel way..

YNWA
 
Wachezaji wetu wameridhika sana wanacheza kanakwamba hawana muda na kutafuta goli pambafuuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom