Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,472
- 32,923
Kabisa ndugu mie Ikay nilivyomuona ameanza huku akiwaacha Silva, Bernado na Mahrez benchi niliona watapata taabu hata watangazaji walikua wanasema pengine baada ya kuona response ya Lyon abadili mfumo chap lakini wapiiii kakomaa vile vile...Kwenye ile game Guandoga na Jesus hawakupaswa kuanza na wala hakupaswa kuchezesha mfumo wa uoga wa 3-5-2. Alikuwa achezeshe 4-3-3 au 3-4-3.
Front Three ilikuwa iwe>
Bernardo - Sterling - Mahrez
Kwenye 3-4-3 kati aweke>
Cancelo-Rodri-KDB-Walker
Kwenye 4-3-3 kati aweke>
Cancelo- Rodri - KDB
Lakini jamaa mipango imekuwa mengi mpaka anajichanganya.
Hujawajua watu wa humu, ni vile wamechukua epl tena bila mashabiki uwanjani. Uwe unatembelea wakiwa wanakandamizwa ndiyo utajua kukoje. Halafu ile thread yetu ya wafalme wa epl ina tatizo la kuvamiwa na mamluki kama wewe, hasa pale tukifungwa tu, mnakuwa na nongwa, mnaongea pumba, utumbo ndiyo maana liko vile. Ila sisi wenye timu yetu wala hatuna ngebe, tunaitathmini timu na mpira wenyewe wa on pitch.Atleast jukwaa hili na lile la Arsenal mashabiki wake wanauelewa mpira.
Yani mpira mpira unachambuliwa mpaka raha!
Huko kwengine kwa Manyumbu na Chelshishi ni kuongea utumbo tu, kila mtu anaongea lake.
Hongereni sana, nitakuwa napitapita na comments zenu wakuu.
Mfalme umechukua kombe gani?Hujawajua watu wa humu, ni vile wamechukua epl tena bila mashabiki uwanjani. Uwe unatembelea wakiwa wanakandamizwa ndiyo utajua kukoje. Halafu ile thread yetu ya wafalme wa epl ina tatizo la kuvamiwa na mamluki kama wewe, hasa pale tukifungwa tu, mnakuwa na nongwa, mnaongea pumba, utumbo ndiyo maana liko vile. Ila sisi wenye timu yetu wala hatuna ngebe, tunaitathmini timu na mpira wenyewe wa on pitch.
Barca are almost bankrupt 😂😂😂hawamuwezi huyu Pep wa sasa..Ni tough loss man, afadhali ukifungwa na power house unasema it was 50 50.
Time is flying, na sioni kama kuna njia yoyote anayoweza kujieleza awa convince waajiri wake kwamba he can do it.
Nina uhakika hana misimu zaidi ya 2 sasa hivi.
Something to remember, Barca is so calling.
Kuna kikwazo kutoka kwa wajukuu wa Adolf HitlerPSG huyoooooo
Kuna kikwazo kutoka kwa wajukuu wa Adolf Hitler
Hao ndio walikuwa wa mwisho hawa Wafaransa hawawezi lolote mbele ya WajerumaniHawana lolote wale! Wasingefungwa na Chelsea na Intermilan kwenye Final Timu ambazo hazina DNA ya CL
Game gani iyo nikumbushe..mimi sijui iyo kitu mkuuNakumbuka game zile kina Morientes wanakiwasha, wanamtoa Chelsea kwa 3 bila.
Noma sana.
Game gani iyo nikumbushe..mimi sijui iyo kitu mkuu
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
2004 mkuu nilikuwa na miaka 9+ ivyo naifahamu Chelsea vilivyo naweza kukutajia kikosi chote cha wakati huo ambacho kilileta mapinduzi makubwa kiasi Kwamba kiliweza kubeba ligi mara mbili na kuingia fainal 2008 na man u ..ivyo nikumbushe iyo game mkuu..Ulikuwa bado mdogo hii.
Achia wazee
Labda maembeTukikamilisha na usajili wa mabeki msimu ujao ni mwendo wa kuwatungua tu
CFC[emoji170][emoji170][emoji170]
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app