Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Mkuu yaani uwe PL winner halafu unaanza tena kuwekeza kwa under 23?

'Vinginevyo tutarudi kule kule' sasa wewe ndo unataka turudi huko na hao under 23 wako
 
Mkuu yaani uwe PL winner halafu unaanza tena kuwekeza kwa under 23?

'Vinginevyo tutarudi kule kule' sasa wewe ndo unataka turudi huko na hao under 23 wako
dah...... mkuu kwamba hujanielewa au?


specifically nilikua na maana ya wachezaji wenye uwezo ila umri wao sio mkubwa!... hao wa late 20's wamejaa pale, tunahitaji mchanganyiko ili timu isipotee nyote!


mkuu kwa umri wa wachezaji wetu mhimu na kwa style ya klop msimu ujao bila usajiri wa 'damu changa' tutakua hatarini.....
 
mkuu, unaonaje wachezaji rika la wener, harvetz, na wenye uwezo kama huo wakaongezwa walau wawili..... utakua na mashaka kuhusu future yetu?


mimi ninavo elewa unapokua peak ndio wakati wa kuongeza promising talents ili uweze kuwa intergrate na wale ambao umri wao unakimbia!.......


mistakes za wenger, technically hata Saf alifanya hizo hizo misimu yake ya mwisho, matokeo yake tunaona utd wakalazimika kujenga upya timu, same kwa asernal...... na sisi tukitegemea wachezaji wa umri ule wa thiago aisee i'm afraid tutakua hatarini
 
Liverpool XI: Alisson, Alexander-Arnold, Gomez, Van Dijk, Robertson, Keita, Fabinho, Oxlade-Chamberlain, Salah, Origi, Mane.

Subs: Adrian, Wijnaldum, Firmino, Henderson, Minamino, Shaqiri, Jones, Elliott, Williams.

Aston Villa XI: Reina, Konsa, Hause, Mings, Taylor, McGinn, Douglas Luiz, Grealish, Trezeguet, El Ghazi, Davis.

Subs: Nyland, Lansbury, Nakamba, Hourihane, Samatta, Jota, Guilbert, Elmohamady, Vassilev.
 
Usije ukashangaa kuona hata kwenye game hii hawa kina Elliot, Jones na Williams wasigaiwe hata dakika 15 kwenye game ya leo na baadae wakaishiwa kuingizwa walewale wa siku zote ambao hawana tena jipya la kuprove au kuimprove.
 
Hivi KD yeye kila mechi anaingia uwanjani hata tukiwa away hii inakuaje na Covid hii
 
Dk ya 30 hatujapiga shuti lolote kwenye goli la Aston villa
 
Mkuu hao unaoita vijana wanahitaji seniors kuwakuza and to mentor them pia winning mentality is gained by winning trophies oftenly and who else is more suitable than this decorated Thiago..

So hawa akina Jones pekee hawatoshi kutuweka juu we need a mix blend of players..

Klopp hua hanunui kama Rodgers kuleta akina Mario for the sake of buying , ukiona Klopp anamhitaji mchezaji basi ujue anakuja kutuboresha so in Klopp i trust..

YNWA
 
Angalau Walioonesha uhai FH ni

Salah
TAA
VVD

The rest I don't why they're doing kwenye pitch
 
Champions should play like Champions.
Single shot on goal against worst team in the league.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…