Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,591
Hahah
kuna group moja wanasema FA ifute ligi ianze upya ukiwauliza na uefa je ifutwe?
wanakuambia mlishatolewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
karibu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] asee adui yangu umenchekesha sana!Hahah
kuna group moja wanasema FA ifute ligi ianze upya ukiwauliza na uefa je ifutwe?
wanakuambia mlishatolewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
chizi uyoUmemalizana na jamaa ulioomba wakukaribishe Man Utd?
chizi uyo
Huko ni kuchanganyikiwa [emoji38][emoji38][emoji38]Hahah
kuna group moja wanasema FA ifute ligi ianze upya ukiwauliza na uefa je ifutwe?
wanakuambia mlishatolewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha tufurahi tu, maana hatujui muda wa kununa utakujaje[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] asee adui yangu umenchekesha sana!
Aisee acha tu.
Kwamba alijuaje wakati hiyo ktu ni siri sana Kop.Nimepata habari Mane hana furaha ndani ya klabu kwa sababu klopp alimpigia kura VVD kwenye tuzo ya Ballon d'Or wakati yeye alikua na msimu mzuri kuliko vvd.
Sio official kutoka kwa Mane Ila inasemekana.
Sent using Jamii Forums mobile app