Umesemea na nafsi yangu pia [emoji23]😀😀😀😀ahsante
hio game waliyotufunga nakumbuka benitez na timu yake walienda spain kwa treni.........[emoji23][emoji23][emoji23]Liverpool’s last 4 competitive results vs Atletico Madrid:
—
09/10 UEL Semi-Final Leg 2: LFC 2-1 ATL[emoji736]
09/10 UEL Semi-final Leg 1: ATL 1-0 LFC[emoji777]
08/09 UCL group stage: LFC 1-1 ATL[emoji1666]
08/09 UCL group stage: ATL 1-2 LFC[emoji1666]
—
Aisee leo yeyote anatoboa 2-1 or 1-0
#YNWA
Sent using Jamii Forums mobile app
pumba za kwenye jukwaa la mikeka unaleta huku??[emoji2]
Mkamalia mwehu huyopumba za kwenye jukwaa la mikeka unaleta huku??[emoji2]
Au nikupm namba yangu unitumie 😀 😀 😀 😀Nimetumiwa link inbox, nashindwa kui kopy, ngoja nifanye mautundu nii copy
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliyoyaona msimu huu huenda hayatajirudia katika maisha yakoHakika sitegemea kingine zaidi kufuta rekodi ya Manchester United kama klabu yenye EPL nyingi...
Huu moto hauzimiki tena..
VVD akiwa kamanda pale nyuma akifanya yake...
Allison akiwakilisha..
Kati mzee baba Gini
Salah pale mbele akifanya yake...
Aaa lazima kieleweke...
YNWA
Aisee hawa gonga gonga wa Rojiblancost tangu msimu huu uanze wamekamatika sana aisee... Ile intensity yao sio kama misimu iliyopita hopefully hii gemu ya Leo hawatafufuka..
Kiwango Chao sio cha kuridhisha katika gemu 7 za hivi karibuni wameshida gemu 1 tu..
Possible line ups..
Liverpool
Alisson Becker; Alexander-Arnold, Van Dijk, Gomez, Robertson; Henderson, Fabinho, Wijnaldum; Salah, Firmino, Mané
Out: Shaqiri (calf), Clyne (knee)
Atlético:
Oblak; Arias, Savić, Felipe, Saúl Ñíguez; Koke, Thomas, Llorente, Vitolo; Correa, Morata
Out: Trippier (hip), Herrera (unspecified), Félix (muscle)
Doubtful: Costa (hernia)
We are ready...
YNWA
Klopp hatakagi ujinga kwenye masuala ya msingiKikosi chako Klopp ka-copy paste.
Honestly that our 1st team squad Mkuu.. And boys rarely fail...Kikosi chako Klopp ka-copy paste.
Hahahaha na yaje tu yananipa raha sana...