Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nafuatilia hii match via Livescore. Hebu nipe taarifa vijana wanafanyaje na matumaini yakoje.
Mpaka sasa tunampigia mpira mwingi sana kiasi kwamba inabidi kama una flood lights uwasaidie za kuusaka mpira.

Vijana wako very composed in possesion ukiachilia mbali kukosa umakini kwenye final third.

So far so good
 
Mpaka sasa tunampigia mpira mwingi sana kiasi kwamba inabidi kama una flood lights uwasaidie za kuusaka mpira.

Vijana wako very composed in possesion ukiachilia mbali kukosa umakini kwenye final third.

So far so good
Tottenham uwanja wao wamezimwa hamna shangwe zaidi ya wageni kutoka jiji la Majogoo ndio sauti zao zinasikika...

Liverpool hii raha sanaa...

YNWA
 
IMG_7388.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Jim Beglin: "I’ve never heard a stadium so quiet like this. I mean since i have started visiting this stadium, it's never been quiet like this"

Peter Drury: "As a Tottenham fan you just have to, I mean Liverpool dictate and control the whole game, they are just superior"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom