kwa jinsi tulivyo na majeruhi, siwezi kumshangaa klopHawa madogo wasipokuwa makini tutatandikwa na hawa majamaa... Adrian kaokoa mara tatu sasa angalia magoli ya wazi kabisa
Hapo anatakiwa amwingize Ox na Mane haraka sana tutapigwa pamoja na Ku-dominate game!Hawa madogo wasipokuwa makini tutatandikwa na hawa majamaa... Adrian kaokoa mara tatu sasa angalia magoli ya wazi kabisa
Hawa madogo wasipokuwa makini tutatandikwa na hawa majamaa... Adrian kaokoa mara tatu sasa angalia magoli ya wazi kabisa
Fabinho is back in trainingKama Mkataba unaruhusu basi Grujic aitwe haraka hii January kabla hatujawa Laughing Stock.
√ Keita injury
√ Fabinho injury
√ Milner injury
√ OX gari la Mkaa
We've only Two Midfielders ambao ni Hendo na Gini kwasasa ndiyo wapo fiti.
Tunamuhitaji Grujic kuliko wakati wowote ule.
seriously, madhara ya game nyingi tulizocheza yanaanza kuonekanaKama Mkataba unaruhusu basi Grujic aitwe haraka hii January kabla hatujawa Laughing Stock.
√ Keita injury
√ Fabinho injury
√ Milner injury
√ OX gari la Mkaa
We've only Two Midfielders ambao ni Hendo na Gini kwasasa ndiyo wapo fiti.
Tunamuhitaji Grujic kuliko wakati wowote ule.
Angejua mashabiki tunataka tukombe kila kitu ndani ya England asingefanya masikhara kabisa!Klopp anadharau FA competitions except EPL
Hahaha... CityAngejua mashabiki tunataka tukombe kila kitu ndani ya England asingefanya masikhara kabisa!
Waoooo,, what kind of sensational goal is this? Liverpool 1- Everton 0!Nilichogundua ni kwamba siku ile kwenye carabao wale watoto wangekuwa wamesimama na Klopp, Aston villa asingetufunga
Sent using Jamii Forums mobile app
Katoto kanasaka namba kwa UDI na uvumba! Loooh, kuna vitoto viko vizuri humu wacha!
Future Captain huyoCurtis Jones kafanya matusi huko ajabu, kanikumbusha enzi za Counthino
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kwako pia ndugu yangu... Huyu mtoto Jones nataka nimzawadie nyumba ndogo yangu kwa gharama zanguBabu heri ya mwaka mpya.