Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahahaha Simba tupo imara Leo lazima apigwe mtu..

Yeboyebo jana kashinda basi kelele kama zote..

Ni wakati wa Wekundu sasa...
 
Nmewasilisha malalamiko yangu kwenye iyo e-mail ..nmejibiwa kwamba lipo nje ya uwezo wao ..inaonekana Liverpool wametoa mpunga mrefu sana kuhusiana na ili suala ..Labda niwasilishe FA kabisa maana hii EPL ni kama imewekwa mfukoni na Klopp..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

#CFC[emoji170][emoji170]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitendo cha Kila Mtu kuilalamikia Liverpool kuhusu VAR inaonesha kwamba sasahivi Liverpool ni Timu inayofatiliwa zaidi na Wapenzi wa Soccer kuliko Timu yeyote ile Duniani.
Na ndiyomana VAR ikiboronga kwa Vitimu vilivyokwisha ishiwa kama Manure na Chelsea basi hakuna anayejali, but ikifanya maamuzi yeyote kuhusu Liverpool ndiyo utaona kelele nyingi sana hapa.
 
ukweli ni kwamba walitaman sana tuwe juu kwa walau point 6 max, ili waanze msemo wao kwamba lazima city atupite.......


saa hizi point 13 (+ game in hand) zimewakatisha sana tamaa, wanaugulia kimya kimya[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kelele za mbeleko ya juzi wenye mpira wao washasema mwezi February watatoa muongozo mpya kwa marefa kuhusiana na matumizi ya VAR.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…