Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Salah gave us 2 world class performances kwenye FIFA club world cup, yet credits alizopewa ni ndogo sana..

Yes, y'day he had a poor game, but Mane had a poor game too (alitoa assist but ni kitu ambacho hata Salah huwa anafanya akiwa na off game)..


Front 3 pekee aliyekuwa vizuri jana ni Bobby tu, but why ni yeye pekee anayekuwa scapegoated? he's been a world class player for us tangu amekuja LFC, been on & off form for few months, because tunasahau kuwa tangu aje LFC, ndiye mchezaji aliyecheza minutes nyingi sana chini ya Klopp, so ilikuwa lazima fatigue impate baada ya kucheza kwa high pace/power for 2 seasons in a row, Yes yupo off form, but ana goals si chini ya 13 na assists 7, kwa competitions zote msimu huu, hiyo siyo idadi ndogo hiyo, kuna STs bado wana-struggle kufikisha hiyo idadi this season.

few weeks ago, me & Ed tulikuwa tuna-discuss kuhusu form ya Firmino, (he was having bad games), but now tunaona jinsi anavyotuokoa kwa his important goals, huwezi amini kama alikuwa kwenye very bad patch few weeks zilizopita, front 3 wanacheza games nyingi sana kwasababu hatuna players ambao wana quality sawa na wao kwaajili ya ku-cover places zao kwenye games muhimu, na ndiyo maana wanacheza week in, week out, wanachoka but bado wanaendelea kutupa results tunazohitaji kila siku, kuna club ipo jiji la manchester ina options za kutosha sana kwenye foward line yao, but tumeipita points za kutosha kwenye title race, because tuna front-3 ambayo inajitahidi kila kukicha kutupa results bila kuchoka, but ikitokea wameingia kwenye bad-patch watu wanaanza kuwaongelea vibaya, especially Salah.

Kuna jamaa hapo anasema Salah siyo team player? How kisa alivyotoka dk ya 70+ tulifunga goals 3? forgeting the fact kuwa seconds baada ya Salah & Keita kutoka tulipata penalty, ambayo ilitibua mipango yote ya Brendan Rodgers (low block with Counter), forgeting kuwa first half yote Leicester walikuwa weme-sit deep na kusubiria counters (hence Vardy managed very few touches kwenye box letu), but baada ya goal la 2, Rodgers decided to attack us, and that was his end kwa jana, as he allowed us to exploit more space kwanzia katikati mpaka upande wa kulia, sub ya Milner ilikuwa ni ku-ease down temple ya game na ku-block counters za Leicester (as Keita alianza kuchoka, it was reasonable as alikuwa amecheza dk za kutoka at qatar), so the sub was spot on, but baada ya Milner kufunga lile goal, game ikawa open, na kutufanya tucheze mpira wetu wa siku zote as we switched to 4321 na kumaliza game, but mtu anayeangalia mpira kiushabiki atakwambia ilikuwa ni kwasababu ya Salah kutoka, Keita was WORLD CLASS y'day controlled the entire MF kwenye first half & second half mpaka alivyotoka, (he was the main core kwa jinsi tulivyodominate Lei's MF), but naye alivyotoka ndiyo tukafunga 3 goals, so nae siyo team player? kwa mtu yeyote anayeangalia mpira angegundua kuwa Lei ABADONDED their game-play baada ya kuwafunga goal la pili.

I hate it when watu wanakuwa na agendas na players ambao wametufikisha hapa tulipo leo, bila save ya Alisson na GOAL la Salah against Napoli leo hii tusingekuwa na Trophies zaidi ya 3, Shabiki wa LFC unakuwa unashindwa kujivunia mchezaji ambaye kwenye kila records za EPL yupo, unapomzungumzia kina Shearer/Henry/Rooney/Lampard etc kwenye EPL goal-ratios jina la Salah lazima litakuwepo, but unakuta kuna ignorant LFC fan anakuwa na agenda na mchezaji wa namna hii ambaye anachezea team yake anayoi-support.

Yes, Salah is just a player, & he's in no-way bigger than the club, & just like any other player, hana immunity ya criticzim kabisa, but when you want to criticze mchezaji aina ya salah, ni lazma uweke stupid agendas pembeni, na kama huwezi kabisa kuwa na ethics za criticizm, ni bora usifanye kabisa hivyo because kuwa na agenda dhidi ya mchezaji calibre ya Salah unaonekana ni mpumbavu..

He's not a SHIT or AVERAGE player, he's WORLD CLASS player, personally huwa nakuwa na agenda/dismiss SHIT/AVERAGE players because they bring NOTHING to the team, i'll criticize Salah like just any other player, but having an agenda against him? Man thats so stupid, this dude played a HUGE part kwa mafanikio tuliyonayo sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Loool

Basi, ni wale aina ya watu ambao wanapenda ku-prove a point.

Internet imeharibu sana watu, everybody can have an opinion kuhusu vitu asivyoelewa kwasababu ana simu na uwezo wa kuandika kile anachojisikia.

Ndiyo maana, threads za politics kwenye hii forum zinakuwa(ga) za ajabu ajabu sana.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Trent was superb y'day and his rating zipo correct kabisa.


But, Gomez was MOTM for me, he pinned down every Vardy channels, Leicester failed to attempt any meaningful counter through Vardy, as Gomez was always there to time his runs.


Keita, moved the show y'day, brother that Kid is so talented & special, and bado hayupo hata 100% fit.

Gomez/Keita/VVD/Andy ratings should be higher..

Gini ratings should be lower than that, he ghosted y'day, but its understandable because ametoka kwenye injuries..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wan Bissaka is a good defender.

He's just not good going forward.

But, he's a good defender.

He just chose club mbaya for his development.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
People moved so fast to dismiss Joe Gomez baada ya ile game ya Salzburg..

Again, this shows how impatient LFC fans walivyo na wachezaji, especially GOOD PLAYERS..

Kabla ya his injury last season, Gomez was the best young CB in the world, lakini alivyorudi kutoka majeruhi na kucheza hovyo watu wakasahau yote aliyofanya kabla hajaumia.

Funny thing is, he's just 22, still a kid, but playing at the highest level, VVD hakuwa na Elite status akiwa na miaka 22 kama Gomez, but look at him now? Top 2 best player in the world right now. But again look at Gomez akiwa na miaka 22, ameshinda trophies kubwa zote (2019/20 EPL title included)..he's a special talent and we should be glad tunae at LFC..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
....and out of the 20 remaining games, LFC needs to win 16 if ManCity wins all their remaining games.

can't see us not winning at least 16 until May.
 
Kama Mungu kaamua mimi ni nani mpaka nibishe?????


Nyinyi ni mabingwa wa EPL msimu huu,na naamini kabla ya pasaka kombe litakuwa Anfield......

Sisi wengine tuanze mapema kujiandaa na msimu ujao....

Kongole

Sent using Jamii Forums mobile app
 
King Ngwaba bana - una mambo!!!!
 
Lol, big names kwenye MF, but ipo so unbalanced, haha!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…