Tunaangalia tofauti.m imi naona mido ndo mbovu na ndo zinapelekea fowadi zi choke mfano Mane anaridi hadi nje ya kumi na nane yetu mpaka afike kwa wapinzani keahachokaNaiona safu ya ushambuliaji kama ina uchovu sana, ingawa midfield na beki zikifanya majukumu yao.
good thing team bado inashinda ingawa ni ushindi finyu game baada ya game, december itakuwa ngumu sana na game za kucheza ni nyingi.
chamuhimu ni forwards kurudi kwenye fomu mapema na ku avoid unnecessary injuries...
Nipo upande wako halafu wanapo leta ubora wa angalie na mshahara anaolipwa tuponde kwa haki hata akiharibu yule makosa yatarudi kwa kocha nionavyo mimiNajikuta namtetea Adrian kama jamaa humu wanaometetea Henderson.
For God's sake, hatujawahi kupoteza wala kutoa draw mechi aliyodaka Adrian.
Na msimu huu tuna cleansheet 2 tu na zote ni za Adrian.
Ha ha haaa ameharibu lini mpaka una khofu kiasi hicho.Dah! Brother unavyomtetea Adrian nahisi kama unatania hivi!!!!
Sio siri nipo tayari golini akae Juma Kaseja kuliko Adrian.
Lakini kwavile Adrian ndiye Kipa pekee tuliyenae kwasasa basi ninamsupport kwa 100%.
Hakuna anae hoji hilo bahati ni muhimu sana maishani.Ni uzembe wa hali ya juu golikipa kupata kadi nyekundu namna ile.
Hakuna anae hoji hilo bahati ni muhimu sana maishani.
Na anajiamini goliniMzigo wote kaangushiwa Adrian.
Sema mimi namwelewa sana jamaa, yuko very sharp na anayaona mashuti vizuri.
Jamaa katusaidia sana sina tatizo nae kabisa.Mzigo wote kaangushiwa Adrian.
Sema mimi namwelewa sana jamaa, yuko very sharp na anayaona mashuti vizuri.
Ni uzembe wa hali ya juu golikipa kupata kadi nyekundu namna ile.
Ha ha haaa ameharibu lini mpaka una khofu kiasi hicho.
Kumbuka amekupa kombe huyo.
I think this is a joke right?
Hivi toka Adrian amedaka Liverpool, tumepoteza mechi ngapi EPL?
How do we measure goalkeepers performance?
Ha ha haaa ameharibu lini mpaka una khofu kiasi hicho.
Kumbuka amekupa kombe huyo.
Hivi why watu hawamuongelei Kijana wetu HARRY WILSON kwa mkopo bernmouth...Ana Goli 6 msimu huu na ni goli kali kali tu......Na ni middfield natamani Kloop amrudishe sema ndo atakaa benchi. Anapiga free kicks kama Juninho pernambucano
Allison alikuwa na desperate kupata cleansheet
Kwasasa Liverpool simpimi mchezaji kwa kutokupoteza game! Naamini hata akae Karius kwenye EPL kwasasa tutawasha moto na hatutopoteza.
Unless uniprove wrong kwa kusema Adrian ni miles better compared to Alison coz Alison ameshapoteza game against Napoli, is it right?
Let's say Adrian is our best goal keeper now.
Adrian 0 Lose
Alison 1 Lose
Alisson is miles better than Adrian, hiyo haina ubishi.
Nimeshangaa sana kwa wewe kusema bora Juma Kaseja kuliko Adrian golini.
Mimi ndo nikauliza, golikipa performance yake inapimwa vipi?
So, baada ya kunipa vigezo hivyo, niambiwe Adrian kaharibu wapi kiasi cha Juma Kaseja kuwa bora zaidi ya Adrian.
Njooni huku kwenye TV Manure wameshapigwa! Ya Arsenal niliachia njiani naye akiwa amepigwa matokeo ya mwisho sikujua ilikuwaje?
Sure mkuu, it is enough now! We need to.build trust on him! He is capable and he will!Nahisi challenges tulizopeana zinatosha let's stop here about Adrian.
Hivi sasa naona kama tishio letu kuu ni Leicester City. Haka katimu kanakuja kwa kasi sana. Kameshamtafuna mtu dakika za mwishoniArsenal kadraw
But Manure naomba azidi kupigwa ili nizidi kuongezeka uzito
Tokea msimu huu uanze nimeshaongezeka 8kg kutokana na shida wanazozipata Manure.