Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Shituka, mkuu ukiona attacking midfield anaanzishwa ku-cover nafasi ya fullback ujue ipo shida kwake(hawezi ku-create chance kama fullback anavyofanya). Hivyo basi capitano yeye mwenyewe anajua kua huo uwezo hana ndio maana anakubali kucheza kama cover ya namba mbili apandapo kushambulia which is his basic responsibility
 
Hendo hawezi kucheza CAM maana hana uwezo huo
Hendo kwa anavyocheza ni katikati ya hzo mbili
Binadam wanabadirika kutokana na kikosi na ata Bale alikuwaga beki zaman

Kama kuna kitu hujakifahamu ni kuwa Henderson alifeli zaidi alipocheza DM kuliko CAM.

Baada ya Kuondoshwa kwenye DM na kurudishwa kwenye nafasi Yake ya asili ya CAM Klopp aliwahi kusema kuwa alimkosea sana Henderson kumchezesha DM.
Na yeye Hendo alizungumzia kutokuwa na furaha kuchezeshwa DM.

Bale alipoondoshwa LB na kupelekwa LW alifiti lakini kwa Henderson imekataa Mkuu.

Bora GINI kama akibadilishwa kutoka CM na kuchezeshwa DM anaweza kufiti lakini tu wawe Double DM yeye na Fabinyo.

Mkuu Henderson sio DM na wala hawezikuwa kwani alishaprove failure katika position hiyo
 
Hiyo inaonesha anord ni bora katika kushambulia kuliko henderson mkuu. Yaani ni sawa na waziri mkuu kukaa ikulu raisi akakae wizarani
 

Yeah, itakuwa
Ila myb klop kaona ni rahisi kwa mfumo wake kutengeneza nafasi kwa kupitia full backs kuliko katikati kwenye watu mrundiko zaid

Sometimes kocha anakuwa na maagizo yake
 
FA baada ya kukataa goli la Bobby issued a statement that declared Firmino's armpit was marginally offside.

Hichi ni kichekesho sasa!
Kwanini Bega likigusa mpira ni Handball? Sasa offside imetokea wapi kwa kiungo kisichoweza kufunga?

Labda tukumbushane sheria ya offside ya FIFA. ↓↓

"A player is in an offside position if any of their body parts, except the hands and arms, are in the opponents' half of the pitch, and closer to the opponents' goal line than both the ball and the second-last opponent (the last opponent is usually, but not necessarily, the goalkeeper)".

Sasa hapa Mrtin Atkinson na FA walituumiza bure na kuzusha offside ya ya uongo kutumia Armpit wakati Sehemu yote ya Mkono (Hand, Arm and Armpit) hazimo katika viungo vinavyoweza kuhesabiwa vimezidi.
 
SADIO MANE = Salah + Aguero + De bruyne + sterling

Mane ndo roho ya liver sahv
Salah ana ujinga flan hv sikuiz ya kulazimisha ye ndo aonekane star kwenye gem na kuwanyima wengine passi za mapema nzr,
Mara nyingine mtu yuko pazr anachelewesha pasi au anapiga pass mbaya mpaka mtu unashangaa
 
Mane ndo roho ya liver sahv
Salah ana ujinga flan hv sikuiz ya kulazimisha ye ndo aonekane star kwenye gem na kuwanyima wengine passi za mapema nzr,
Mara nyingine mtu yuko pazr anachelewesha pasi au anapiga pass mbaya mpaka mtu unashangaa
Wewe tupo sawa kabisa kimtazamo kwa maksudi anachelewesha au anawahisha au anababatiza beki ili tu aonekane katoa pasi namuona hivyo sababu kabla alikua akitoa za uhakika pale mbele naona kaghaili naamini itamghalim mwwnyewe mana nyota ishahamia kwa Mane
 

Kwa uelewa wangu mimi klopp kwa sasa ana viungo wake ambao ni tried,tested, and trusted ambao wamecheza pamoja muda mrefu na wanaelewana kila mmoja mapungufu yao kwenye kuretreat na tayari wana record nzuri ya kushinda uefa na 97 points epl msimu uliopita na pia temeshinda mechi zote kasoro draw moja. Wanataalumu wanasema "dont try to fix something which is not broken".... Hivyo basi pamoja na yote hayo haimaniishi 100% utaweza kuwa out perform opponents,wakati mwingine wanuwezo wa kukuotea mara moja kwa kuwa kikosi ni hicho hicho kila siku watakusoma na kuweza kutumia mapungufu ikiwezekana.Ikitokea hali ni ngumu inabidi ubadilishe mfumo ili uwezo kuwaadaa(surprise) adui na ndo hapo unahitaji ox,keita,origi(hukumtaja) au lallana wawe tayari kukubaliana na changamoto mezani.
Kwa kifupi Hendo,Gini,milner wana offer zaidi game intensity ya 90 mins pasipo kudrop ambayo huiwezi kuipata kwa wachezaji wengi kwa sasa labda naweza kusepa ngolo kante.
 

Ndo iko kinachoicost tim sahv
 
Henderson, had his worst period in his LFC career playing as a DM.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…