Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Naona mwaka huu wameamua kuwaweka mgongoni sasa. Miaka 30 si mchezo wameona wawasaidie kulinyanyua tu
17W [emoji173][emoji173]
Bro yani watu wameshapiga Penalty 4 na 5 sisi Liverpool kupata leo 1 tu imekuwa Nongwa? Hebu kamuulize Rashford pekee ameshapiga ngapi!
Kuna watu walianza kumtukana lovren kabla ya game. Gomez ile game aisee alitufanya tuonekane dhaifu, Lovren ile game ya mk dons alicheza vizuri. Gomez inabidi akaze maana kwa sasa atafuata baada ya lovren
Unamzungumziaje Salah leo?Bro yani watu wameshapiga Penalty 4 na 5 sisi Liverpool kupata leo 1 tu imekuwa Nongwa? Hebu kamuulize Rashford pekee ameshapiga ngapi!
Kweli mkuu. Kwa kiwango kikubwa Salah hii game ameiongezea ugumu kwa upande wetu. Ameshindwa kabisa kupiga pasi za mwisho, nyingi anapiga hovyo au anagongesha (blocked)kwa wapinzani wetu.
Hili klopp anabidi alifanyie kazi. Game ilikuwa na pressure sana hii.
Kufanyiwa kazi ni salah kuekwa benchi tu hamna namna nyingine huyu mtu sasa ivi Amekuwa ni mbahatishaji tu
Our Egyptian king is becoming weak now days
Kufa tutakufa wote ..hakuna roho mbaya ni masuala ya ushabiki tu nikikuombea njaa sio roho mbaya kwenye mpira mkuu[emoji41][emoji41][emoji41]Utakufa na roho mbaya yako. God on our side. You failed once again.