OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,961
- 25,313
Chelsea aliingia fainali msimu ule wa Benitez japo atukubeba..Kwa Mara ya Mwisho Timu ya Kiengereza Kuwin Uefa Super Cup ilikuwa ni Liverpool mwaka 2005, Halikubebwa tena na Timu ya Kiengereza mpaka kaja Kubeba tena Liverpool mwaka 2019.
Hii ni Kuonesha Liverpool ndiye Muengereza Pekee anayeweza kupambana kwa Ngazi ya Ulaya.
Mna kikosi dhaifu sana ..allison, Adrian wote hakuna ..VVD keshaanza kuchoka, Salah naye ivyo ivyo, firmino hana sumu yeyote ya kutisha ..apo kati fabihno anapwaya, milner mzee[emoji23][emoji23] ..Ox, Keita ..ni wahudhuriaji bora wa hospital.. Mane kwa mbaali ndo anaibeba Liverpool ..Gomez, matip ni wachezaji wa kuapanda na kushuka, shaqir ni bench wormer mnategemea nin tena? Kama Chelsea ya akina Tomori, Mount, Tammy, Zouma, imewatoa kamasi akina Salah mkikutana na giant club kama Barca(mtasingizia mliifunga), Juventus, Spurs na madogo kama akina Wolves, Leicester, aise...Kituko kingine hiki
Wee achaga ushamba ..hii timu msimu huu mtaikimbia...Jamaaa ni bonge la comedian
Dah hongera mkuu una engilishi nzuri sana ...utakuwa umepiga one of the great school za apa bongo[emoji23][emoji23][emoji23]Tanzanian, brother.
Sema mnazidiwa nguvu. Kipindi hiki ambacho mmekuwa wasindikizaji kwenye ligue mmepunguza sana mashabiki. Mnazidiwa na Arsenal sasa kwenye kuwa na mashabiki
Mna kikosi dhaifu sana ..allison, Adrian wote hakuna ..VVD keshaanza kuchoka, Salah naye ivyo ivyo, firmino hana sumu yeyote ya kutisha ..apo kati fabihno anapwaya, milner mzee[emoji23][emoji23] ..Ox, Keita ..ni wahudhuriaji bora wa hospital.. Mane kwa mbaali ndo anaibeba Liverpool ..Gomez, matip ni wachezaji wa kuapanda na kushuka, shaqir ni bench wormer mnategemea nin tena? Kama Chelsea ya akina Tomori, Mount, Tammy, Zouma, imewatoa kamasi akina Salah mkikutana na giant club kama Barca(mtasingizia mliifunga), Juventus, Spurs na madogo kama akina Wolves, Leicester, aise...
Mumpate Nani.. Team yenu msimu huu top 4 kwa taaaaabu subiri muone... Pumbaaaaf nyie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Liverpool haijawahi Kupoteza Mashabiki.
Sema Kipindi Liverpool iko katika Mafanikio (1970 - 1980s) mpira wa Ulaya (Ligi ya Uengereza) haukuwa Popular Barani Afrika na Asia ndiyomana Liverpool haukuwa na Mashabiki wengi kihivyo.
Lakini Kipindi Man United anatawala Soccer la England akifatiwa na Arsenal (1990 - 2012) tayari Afrika na Asia imeshachotwa na Mpira wa Ulaya ndiyomana Vijana wengi wa Kiafrika na Asia wakajitupa kwenye Timu hizo kwasababu ndiyo walizokuwa wakiziona zinapata Mafanikio (Kubeba Kombe la Ligi Kuu EPL). Na wachache ndiyo Kwaroho Ngumu tukajitupa Liverpool na Chelsea. Na Msururo Mkubwa wa Mashabiki wa Chelsea ukaongezeka mwaka 2005 baada ya Kuja Mourinho ambao wengi wao kama sio wote umri wao ni Below 30yrs.
Kwahiyo Liverpool haijapoteza Mashabiki bali imemaintain Mashabiki wake ambao kwa Kipindi kikubwa waliremain Constant bila ya kuongezeka.
Lakini kwasasa tutapata Newcomers wengi tu.
HahahahaaaaaaaHivi utaacha lini kuvuta Bange?
Hiyo timu yako yenye uhakika ni ipi?Mumpate Nani.. Team yenu msimu huu top 4 kwa taaaaabu subiri muone... Pumbaaaaf nyie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe jamaa wa man u unafurahisha kama avatar yako, juz mmempiga mgonjwa 4-0 umekuja kwa kasi , wakati una timu mbovu, najua utapotea soon , unatembea kila jukwaa unatamba tu .Mumpate Nani.. Team yenu msimu huu top 4 kwa taaaaabu subiri muone... Pumbaaaaf nyie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mumpate Nani.. Team yenu msimu huu top 4 kwa taaaaabu subiri muone... Pumbaaaaf nyie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni man u huyo, zile 4-0 anaona tayari wana timu ya ushindan .Hiyo timu yako yenye uhakika ni ipi?
Daaah....! Haya makombe tunachukuwa kwako au huko yanako tokea yatakuwa yameisha !?Hili ndio kombe la mwisho kubeba. Hamtabeba jingine tena msimu huu.
Mkiona timu hii ya akina Salah, VVD, Mane, haibebi EPL basi hamtachukua tena na itawachukua muda kuireplace. Mmshukuru sana Klop lakn mjue atabaki kwa miaka mingi maana ndogo yake ni either aje kufundisha Bayern na hata National Team. Sasa mashabiki wataongezeka lini? Alafu usiilinganishe Chelsea na Liver kwenye mashabiki. Chelsea tuko mashabiki wengi sana.Liverpool haijawahi Kupoteza Mashabiki.
Sema Kipindi Liverpool iko katika Mafanikio (1970 - 1980s) mpira wa Ulaya (Ligi ya Uengereza) haukuwa Popular Barani Afrika na Asia ndiyomana Liverpool haukuwa na Mashabiki wengi kihivyo.
Lakini Kipindi Man United anatawala Soccer la England akifatiwa na Arsenal (1990 - 2012) tayari Afrika na Asia imeshachotwa na Mpira wa Ulaya ndiyomana Vijana wengi wa Kiafrika na Asia wakajitupa kwenye Timu hizo kwasababu ndiyo walizokuwa wakiziona zinapata Mafanikio (Kubeba Kombe la Ligi Kuu EPL). Na wachache ndiyo Kwaroho Ngumu tukajitupa Liverpool na Chelsea. Na Msururo Mkubwa wa Mashabiki wa Chelsea ukaongezeka mwaka 2005 baada ya Kuja Mourinho ambao wengi wao kama sio wote umri wao ni Below 30yrs.
Kwahiyo Liverpool haijapoteza Mashabiki bali imemaintain Mashabiki wake ambao kwa Kipindi kikubwa waliremain Constant bila ya kuongezeka.
Lakini kwasasa tutapata Newcomers wengi tu.
Kuna mashabiki na mashabiki maandazi ambao ni nyie kwa umoja wenuMkiona timu hii ya akina Salah, VVD, Mane, haibebi EPL basi hamtachukua tena na itawachukua muda kuireplace. Mmshukuru sana Klop lakn mjue atabaki kwa miaka mingi maana ndogo yake ni either aje kufundisha Bayern na hata National Team. Sasa mashabiki wataongezeka lini? Alafu usiilinganishe Chelsea na Liver kwenye mashabiki. Chelsea tuko mashabiki wengi sana.
well without any addition esp for real AM wizard will cost us big this tym...i thought Klopp should have gone for Insigne or Bruno...but then its was just wishes....No man, he's not tired at all, hiyo new role yake na jinsi Klopp anavyoanza ku-introduce ishu ya "high line" kuanzia kwenye backline hasa FBs, ndiyo kunafanya azidi kuwa useless, either play him as a 6/kama 2nd creator upfront (kwenye box), au bench him for good. issues za kubadilisha favorite players roles uwanjani ili kuwafit-in, hazifai.
Man, feelings zangu about this season, ni "mixed", i had a lot of expectations baada ya kushinda CL, because nilihisi tungetumia ile nafasi kujaribu kuimarisha kikosi cha kwanza, na squad kwa ujumla, but lack of signings (even basic senior squad signings), kumefanya nipunguze matumaini kwa kiasi kikubwa sana.
Kuwa na top class players kama VVD/Faby/Salah/Mane/Firmino and Keita/Ox (bila injuries), and most of all having Klopp kunatupa ile edge ya kuendelea kuchallenge, i think we'll challenge again, but it will be much harder this season, Spurs wamefanya good additions this summer, and if (only IF), Poch akiweza ku-implement his ideas vizuri na ku-adjust his new siginings kwa mafanikio, watakuwa ni big threat kwetu this season, and on paper now Arsenal wana a good squad and a very strong starting XI, but wao kuwa na Emery kunaondoa wasiwasi (lol), overall, we still have a better/strong first XI than Spurs/Arsenal/Utd/Chelsea, but 1 long term injury to one of VVD/Faby/Salah/Mane/Bobby/andy/Trent and we're screwed.
A top 2/3 finish and one of CL (Klopp's miracle)/FA/CC will be a good season.
Firmino definetly the real engine to make our front two guys in Mane and Salah click...he is the real deal when on song and he rarely dissappoint...and its very true this season he mean busines esp wt those eye catchng assist...Bobby Firmino is the SYSTEM.
Klopo used to call Buvac his Brain, but No, Firmino is Klopp's brain.
He's the main man behind Salah/Mane's goals.
And, it seems ana moto sana this season, he's been so so so good tangu msimu uanze, hope ataendelea na hii form.
Mane, always steps up when needed, final zote za Europe tulizocheza amekuwa main star. he's the man of big occassions.
Salah, too, improving his all-round game every season, pressing from the middle, creating attacking spaces, progressing the ball with his pacey dribbling, and he's very very very sharp now. ameanza msimu vizuri sana, record ya kumaliza msimu wa TATU mfululizo as a Top goal-scorer, itam-motivate zaidi, i know atakumbana na shouts nyingi sana za kuitwa greedy/Selfish, but as long as akiendelea kufunga important goals for us, wont be giving a flying f**k.
There's a "dressing room competition" between Salah and Mane, ni kama ile ya Suarez na Sturridge, kila mtu anataka kumu-outscore mwenzake, na hicho ndicho kinachotakiwa kuwepo kwenye team yeyote yenye ambition, Suarez and Sturridge gave us a top 4 finish baada ya kipindi kirefu kwasababu ya goals zao, then you have Salah and Mane delivering us trophies because of their goals, wanaingia uwanjani kila mmoja akitaka kuprove kuwa ni better na muhimu zaidi kwenye team zaidi ya mwenzie.
weee huyu mbabu kutoka Middles sijui Longad or whatever...kwani Andrian kaumia au Klopp still wanting to prove pple he is the boss...Lol, Comedy FC..
huyo Keeper mwingine tuliyemsajili baada ya Adrian, anaitwa nani? yaani hata sikujisumbua kumfatilia..
Ndiyo atakuwa golini game ya kesho? Lord have mercy.
poor Naby, duh huyu inabidi apewe mpaka Oct apone hii rush rush sio fair kabisaaa...Naby Keita not available vs. Southampton. Klopp: It's a muscle thing, we're not sure how long it will take.
Amekwisha!