Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,464
- 32,909
umesema ukweli mtupu na hii ndio inawatafuna PSG kwa sasa, wapo wachezaji wanajituma kisawasawa uwanjani aafu mishahara yao kiduchu aafu hawa wauza sura Neymar, Mbappe wapo wapo tu kama vile wao wapo ki star zaidi ya wengine...Tuachane nao hao wachezaji wakutaka mishahara mikubwa halafu uwanjani wavivu kukaba timu ikishambuliwa anasimama mbele tu.
Kumlipa mshahara mkubwa kabla ya kuonesha kiwango hapo ni kutake risk. Unamlipa huo mshahara anakuja kuwa flop hasara kwetu.
Kwa mtazamo wangu huyo mchezaji hatufai kabisa hapo,me sipendi hao wachezaji wenye majina waje hapo.
Kama wanataka hela waende barca au Madrid huko, wakauze na jezi.
Ha ha ha ha nilichomaanisha ukiwa na mbape,Salah,mane,firmhno...uhakika wa kombe Zaid ya moja ni asilimia 100..maana kwa Hali ya kujiamin tuliyonayo halafu ukaongeza mchezaji tishio na bet nyumba mkuu...hahaha like serious ndugu uweke nyumba hivi hivi lol...ishu ni kwamba PSG hawana mpango wa kumuuza labda ndogo aamue mwenyewe anataka kusepa basi watafanya biashara...
nitashangaa sana tena sama kama Klopp atabaki nae huku Inter Milan wakiwa serious kumchukua..Lovren is shit. Jamaa wanampamba utadhani mtu wa maana
hahahaha you have made my night bro...aaa nyumba wala siwezi kuibetia hata aje Messi na CR7 cz mpira at tymz is just damn crazy....case study Liverpool 4 Barcelona 0Ha ha ha ha nilichomaanisha ukiwa na mbape,Salah,mane,firmhno...uhakika wa kombe Zaid ya moja ni asilimia 100..maana kwa Hali ya kujiamin tuliyonayo halafu ukaongeza mchezaji tishio na bet nyumba mkuu...
Sent from my CAG-L22 using JamiiForums mobile app
Ha ha ha lugha tu kishabiki mkuu usiogope...hahahaha you have made my night bro...aaa nyumba wala siwezi kuibetia hata aje Messi na CR7 cz mpira at tymz is just damn crazy....case study Liverpool 4 Barcelona 0
Season ya 2020-2021 will be his break through...this boy has potential..should be loaned again to gain more experience...
aaa hawa ma Don hua si watu wa masihara ndugu hahaha...Ha ha ha lugha tu kishabiki mkuu usiogope...
i wouldnt say otherwise...we need a creative pass master pass wizard but not pay over our heads just like that...Rhian is ready to take the EPL by storm...
kabisaaa hizi jerzey zinahitajika kua nazo ni namna pia ya kui sapoti timu, yajayo yanafurahisha...The lads have made us very proud, hakuna kipindi chenye raha kama hiki kuwa mshabiki wa Liverpool FC.
Next season will be more exiting.
Ngoja nitafute jezi zote za home and away, plus one sneaker by New Balance i.f.o Kawhi Leonard.
wow just wow...humble na cool minded when this boy cement his starting spot in his right position minus the injuries only then we will see whats a gem he is...
El Nino lol na hio jerzey ya Carsberg ilikua noma sanaaaaa..
1.VV
2.Sadio
3.Matip
4.Hate no one
5.Hendo
6.Salah
7.Keita
8.Mane
well in some way wapo sahihi ukiangalia vikosi vya 1990 kurudi nyuma wengi walikua ni Waingerez, Norway, Scotland n.k...sasa zama zimebadilika wale wa enzi hizo kazi kazi hawapo tena hivyo kuwakubatia tutaambulia nafasi ya 7 ...walijaribu japo kwa mbali King Daglish, Roy Hundson na hawakufanikiwa kamwe...Mashabiki wa LFC wa UK shida sana
Siku moja nilikuwa nafuatilia debate ya kwa nini LFC haijawahi chukua EPL kwa miaka 29 sasa majibu ya kutoka kwa British reds ndio yaliniacha hoi, reds from Britain wanatetea uzawa katika timu wakidai kuna waliopata mafanikio makubwa huku Squad nzima ni homegrowns
1) VVD
2) Firmino
3) Origi
4) Lovren
5) Henderson
6) Lallan
7) Allison
8) Firmino
Hahaha aaa mkuu hujapata wateja wa Lallana na Hendoo bado...heheNimeona ulichofanya hapo pia.
HAHAHAHA
kwetu hakunaga huo u super star siamini kama kweli anaweza kuja...£250m and £400K per week just for Mbappe? Big No
ddnt know Deco ni advisor wake...
if Barca or Real come calling am.not sure he il stay put aisee, this Brazilian players av a 'weakness' for those two teams...
PSG kule ni kuvuna mahela...
my hope is he remain wt us for a long long tym..
this boy can play DM, HM, AM, FB at ease lol whats a boy we have...
sure kabisa for Barcelona labda mwakani after that curfew expires, na wanaweza kuanza mchakato wa kumridhi Busquet and this boy suit that rol damn well..Yeah, Deco is his main advisor/consultant.
Think, he wont be tempted that much na Real madrid, because alishacheza kule and it was like a hell to him, maybe Barcelona or PSG, kama waki-offer silly money.
but, currently na sisi ni moja ya project kubwa sana in europe, so we shouldnt be worried, for now.
Hahaha aaa mkuu hujapata wateja wa Lallana na Hendoo bado...hehe