Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahahahahahahahahahahaha aweke tu au siyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Betting ni vita ya kiuchumi kati yako Wewe mchezaji na Muhindi, Mtu kama huyo jamaa hawezi kuelewa hizi Principles sasa ili akili imkae sawa na aache hizi tabia za kimwajuma mwajuma aweke hiyo lakini 4 kwa Spurs asubiri atapata Jipu gani.
 

Kwa faida yako na ya wengine pia, rudi nyuma uangalie statistics za UEFA.

Ikitokea timu mbili zitaingia fainali, asilimia kubwa 85+ itakayochukua ile ambayo imeshawahi kuchukua.

Hili kombe haliendi ugenini, linapajua nyumbani kwake.
 
Betting ni vita ya kiuchumi kati yako Wewe mchezaji na Muhindi, Mtu kama huyo jamaa hawezi kuelewa hizi Principles sasa ili akili imkae sawa na aache hizi tabia za kimwajuma mwajuma aweke hiyo lakini 4 kwa Spurs asubiri atapata Jipu gani.
Kijana Embu tuliza miwasho yako, umeambiwa nataka kuweka laki nne na nan??

Hivi mbona unakuwa kiazi namna hii unajidhalilisha

Ficha upumbavu wako, una mke na familia ila unaongea pumba tuu,
 
Kwenye mpira hakuna bahati na ndio maana ukaitwa ni mchezo wa makosa. Utaniambia Man City alibahatisha kuchukua EPL au ni makosa yenu ndio yalimpa kombe?
 
Kwa faida yako na ya wengine pia, rudi nyuma uangalie statistics za UEFA.

Ikitokea timu mbili zitaingia fainali, asilimia kubwa 85+ itakayochukua ile ambayo imeshawahi kuchukua.

Hili kombe haliendi ugenini, linapajua nyumbani kwake.
Najaribu kuwaza timu zilizochukua kwa mara ya kwanza ilikuaje.
 
Mkuu umelewa au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ulitegemea nin kama mnacheza mpira wa kidada UEFA Inahitaji roho mbaya city UEFA hana tofauti na PSV

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…