Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,398
- 17,793
nice one from this Legend
This is too shallow... If you judge klopp Kwa hizo two games then you are no better than the person you are trying to smart assTatizo kloop umemjulia liverpool, kijana usipende league ambazo huwezi
Uliangalia game la europa final klop na sevilla ?
Je final na madrid?
Utagundua kitu, kama unafuatilia soka
Unashabikia timu ganiM nitoe tahadhari matokeo yapokeeni kama yatakapo kuwa
Msije kuanza kumrushia vilago kocha
Tulia tulia mkuu silaha zinasafishwaNaona kama fainali inachelewa hivi? Ingepigwa Leo tu!
Supercup tunategemea Kukutana na Spurs.. Labda Supercup ya 2022 uko ndo tutakutana..Southern Highland, Kimaro, Ollachuga Oc hongereni sana kwa ushindi wa jana...bila shaka super cup tunakutane na nyinyi.
Tutavutia pale Atlentico ground mkuu.Pale unapotoka kuvutia bange chooni, unajua kuvuta bange siyo tatizo, tatizo ni kwamba unaivutia wapi?
Hata kwa Arsenal Ulisema.Yaan spurs lazima atachakaa kesho sio ombi ni lazima
Mkuu Arsenal ilikuwa ni kuwapa moyo tu ila ww na Arsenal wate vilema mpira mlicheza mbovu ambao hata ndanda hawachezi hivyo sema bahat ilikuwa yenuHata kwa Arsenal Ulisema.
Spurs ni unpredictable team mkuu. hapo alipofika hakuna aliyedhani atafika. Ile final so haitakuwa rahisi kihivyo mkuu.Mkuu Arsenal ilikuwa ni kuwapa moyo tu ila ww na Arsenal wate vilema mpira mlicheza mbovu ambao hata ndanda hawachezi hivyo sema bahat ilikuwa yenu
Kuhusu spurs sio swala la kuficha ficha yaan tunamgonga sio chin ya goli mbili mpira utadunda pengine lkn sio kesho