Kubishana na wew ni matumizi mabaya ya akili,Tuliza mtori wewe mpira utakuwaulijua kwene google tu,,YNWA uefa inakuja anfield
Tatizo kloop umemjulia liverpool, kijana usipende league ambazo huweziKwani huyo poch amemfunga klop Mara ngapi na alishabeba nini tangu umjue!??
Unapoteza muda wako bure mkuu kuna watu ni wa kuwapuuza tu.Kwani huyo poch amemfunga klop Mara ngapi na alishabeba nini tangu umjue!??
Klopp ni kama ana mkosi wake wa Asili kabsa. Kuna mkosi unamla taratibu.....ila sidhani hii fainali kama Klopp hatabeba hili kombe. Kwenye mpira lolote linatokea!!Tatizo kloop umemjulia liverpool, kijana usipende league ambazo huwezi
Uliangalia game la europa final klop na sevilla ?
Je final na madrid?
Utagundua kitu, kama unafuatilia soka
Mkuu mimi nakuhakikishia Hii tunafia uwanjani TRUST MEKlopp ni kama ana mkosi wake wa Asili kabsa. Kuna mkosi unamla taratibu.....ila sidhani hii fainali kama Klopp hatabeba hili kombe. Kwenye mpira lolote linatokea!!
Ushafunga vifaa mkuu.?Tutafia uwanjani, Tukishinda kuna sherehe nimeandaa ,hapa dar
Trust me
Mkuu wew ni shabik wa timu gani?Kubishana na wew ni matumizi mabaya ya akili,
fainali hua ni mbinu za kocha na kisha wachezaji wazifanyie kazi hopefully Klopp mbinu zake this tym zitafanikiwa cz we damn deserve this kubwa lao cup.Klopp ni kama ana mkosi wake wa Asili kabsa. Kuna mkosi unamla taratibu.....ila sidhani hii fainali kama Klopp hatabeba hili kombe. Kwenye mpira lolote linatokea!!
HahahahahahahahahhahahahahahahahahTutafia uwanjani, Tukishinda kuna sherehe nimeandaa ,hapa dar
Pale unapotoka kuvutia bange chooni, unajua kuvuta bange siyo tatizo, tatizo ni kwamba unaivutia wapi?NASIKITIKA KUTANGAZA KWAMBA SISI FAN BOYS WOTE WA LONDON TUTAUNGANA KUHAKIKISHA TOTTENHAM SPURS ANALETA UEFA NDANI YA LONDON KWA MARA NYINGINE. KHABARI HIZI ZIWAFIKIE WALE WALIOKUWA MAMLUKI WA ARSENAL KWAMBA KHALI ZAO ZITAKUWA MBAYA ZAIDI PALE SPURS ATAKAPO FANYA TULICHOFANYA SISI APO BAKU. KING NGWABA NA WENZAKO WOTE MTAMBUE KWAMBA SARRI ANA KOMBE MOJA KUBWA NDANI YA EPL WAKATI KLOPP MPAKA SASA ANARUKA RUKA TU ..TOTTENHAM ATAFANYA KITU AMBACHP SISI KAKA ZAO TUMEKIFANYA JANA.
London will be Blue and White
Thank You Man. We have won the so called MICKY MOUSE CUP.Southern Highland, Kimaro, Ollachuga Oc hongereni sana kwa ushindi wa jana...bila shaka super cup tunakutane na nyinyi.
Msiende mkiwa na matokeo yenu kichwani,kumbuka ile nifainali,angalieni msije mkaabika,nahisi harufu ya aibu ikiwanyemelea.Mkuu umeanza kushangilia mapema kabla ya mechi. Kwa mtazamo wangu navyoona kila mchezaji wa Liverpool wamepania sana lazima warudi na kombe na wameona kabisa wanastahili. Game tuna maliza mapema kabisa kipindi cha kwanza tu.
Vijana wanachonifurahisha wanakaba sana na molali iko juu sana.
who cares whether t Micky or Tom, t wrapped already heading to Bridge..Thank You Man. We have won the so called MICKY MOUSE CUP.
Hii ni fainali yake ya 3 kwenye UCL. dhidi ya Munichi 2014 akiwa na BvB. Mwaka jana akiwa na Reds na mwaka huu pale madrid. Kabla alicheza Europa ligi akiwa na Liverpool kapoteza dhidi ya Sevilla.Klopp ni kama ana mkosi wake wa Asili kabsa. Kuna mkosi unamla taratibu.....ila sidhani hii fainali kama Klopp hatabeba hili kombe. Kwenye mpira lolote linatokea!!