Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
leo ndiyo ile siku ya yule mwana yanga wa premier league kule england kuupisha ubingwa nakumuachia nafasi jogoo achukue utawala wake...
NOTE:Kwakuwa yanga alichapwa kulingana na utabili wangu yakinifu ,barca naye akachapwa nikiwa kwenye harakati za kukamilisha utabili leo pia tutegemee mazuri ,tukimshuhudia mwana marundi wa ETIHAD akiwa hoi



NOTE:Kwakuwa yanga alichapwa kulingana na utabili wangu yakinifu ,barca naye akachapwa nikiwa kwenye harakati za kukamilisha utabili leo pia tutegemee mazuri ,tukimshuhudia mwana marundi wa ETIHAD akiwa hoi




