Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ni Gini-Milner-Hendo tu wala usijiporezee muda kuwaza..

Fabinho awasubiri kina Cardiff na Westham ndiyo game size Yake za kuanza..

Lakini Game kubwa siyo size Yake akae pembeni awapishe wapambanaji wa Klopp
Kuna sehem nimeona wanampigia chepuo hendo acheze na faby.wakisistiza apatikane namba kumi halisi itakayo gawanya mipira.
Sijui Hendo amewapa nini kiasi ya kutaka apangwe na watakaomzibia mapungufu yake.

KUNA UWEZEKANO KLOOP ANASHINIKIZWA.
 

Yes, Lucky is a must now man..

We need to win the remaining fixtures at any cost, haijalishi tutashindaje.
 
i guesss hawa jamaa wenye majina ya Pep ni soccer wizard...
hio sub ya Fabi ilituokoa maana Spurs walikua wameamsha amsha mbaya bt nice Fabi brought stability in th middle of th park...
hopefully tuedako Klopp will stop being Klopp na akumbali Fabi is irreplaceable kwa sasa...
 
Kazeni buti wakuu wa Anfield huu ni mwaka wenu
fixtures ya Man city ni ngoma nzito, wasipojiondoa FA watapoteza points Aprili hii na Liverpool mnaweza ku overtake kirahisi kwa sabbau mechi zenu nyingi ni za nyumbani mpaka mechi ile ya mwisho na Mbwa Mwitu wale wabaya. Ila timu ya kuiogopa kuliko zote ni Cardiff kwa sababu wale ni wafa maji, atakayekuja mbele yake hana cha kupoteza ni kujitoa mhanga tu
 
Hao Liverpool hawana uwezo wa kushinda mechi zao zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Man city haitegemei kupoteza mech kwakuwa INA mechi nyingi ,man city atapoteza mchezo iwapo atabanwa,

Pep ametengeneza mfumo ambao wachezaji wake wanaingia moja kwa moja , haijalish Leo flan hayupo au yupo, ndio maana mpaka sasa yupo kwenye mashindano yote,

Hii mambo sijui ya kikos kipana , timu nying zina vikos vipana,


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Kuna hali naiona ya livarpool kuchukua ubingwa wa ligi kuu katika mechi za mwisho kabisa za msimu, kama alivyofanya man city kipindi kile wanachuana na babu Fergi mpaka washabiki kuingia uwanjani. Nafkiri ukame waliokuwa nao ni sawa na wakwetu naona washabiki walivapool watavamia uwanja kwa hamu. #YouWillNeverWalkAlone

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…