Klopp + Henderson = Jiwe + Bashite
Hakuna wa Kulibadilisha hilo
Unaweza ukakuta aliyeandika huu ujinga ni Mtu mzima ana mke na watoto 6LIVERPOOL TIMU YA HOVYO KUTOKA sawa tu na mbagala markt au nazareth ya njombe
Halafu atakuja mjinga mmoja hapa na soccer management hao wenye akili huko duniani wanaona kabisa klop anakosea kutomwanzisha fabby na wanaweka wazi kabisa mido ya hendo ,gin ,milner imefeli
Na ni muda wa Hendo kukaa benchi
Mkuu me mwenyewe nimejitolea kwenda nae bamba tu bamba
Mechi city ambazo atakazo poteza ni ya crystal palace na Leicester.
Mechi zilizopita city alifungwa na hizo timu mkuu,mechi na crystal alifungwa pale etihad, kama unafatilia mpira vizuri msimu uliopita city akumfunga crystal palace nyumbani kwake kwenye epl.
Leicester yupo brendan rogers sasa Leicester ni ya moto balaa,kushinda iliyomfunga city round ya kwanza.
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji23][emoji23][emoji23]Klopp + Henderson = Jiwe + Bashite
Hakuna wa Kulibadilisha hilo
Yule jamaaa bhna ni level nyingine. Ingetakiwa muwape hela zingine soton hata kifutia jasho tu kinatosha...usajili ukianza tu, mkiona kuna mchezaji wanamtaka hlf hawafiki bei, mnabd muwapige support wamchukue huyo mchezajiDuh ila huyu VVD sijaona weaknes yake mpk sasa labda mniambie ndugu
Jana alivyo kifanya wakat yuko na zile forwad mbili za spurs tunakila sababu ya kusema SOTON tuwape
Pesa nyingine zaid
13SEPTEMBER
Ameogopa, hahahahMkuu me mwenyewe nimejitolea kwenda nae bamba tu bamba
13SEPTEMBER
hahahahahaha!Klopp + Henderson = Jiwe + Bashite
Hakuna wa Kulibadilisha hilo
Haha
Jordan Bashite πππππHata kama City atapoteza mechi ama kutoka sare, kwa uchezaji wa Milner na Hendo Bashite tuna kibarua kigumu sana kuifunga Southampton na Newcastle away.
Defense iko poa.
Front 3 wako poa.
Shida ni midfield tu especially akianza Jordan Bashite na Milner huwa tunaishiwa creativity kabisa.
In my own opinion tulipoteza opportunity in January
Ila unaimani na mbowe?Sina imani na Klopp, sina imani na Klopp.
Jamaa wakati anahojiwa,akasema alivyoona yuko na wachezaji wawili,alimwangalia Son akajua akipewa pasi lazima angefunga hivyo alibana kulia zaidi kwa Sissoko ili aweze kupiga shoot kwa mguu wa kushotoYule jamaaa bhna ni level nyingine. Ingetakiwa muwape hela zingine soton hata kifutia jasho tu kinatosha...usajili ukianza tu, mkiona kuna mchezaji wanamtaka hlf hawafiki bei, mnabd muwapige support wamchukue huyo mchezaji
Akili kubwa sana ileJamaa wakati anahojiwa,akasema alivyoona yuko na wachezaji wawili,alimwangalia Son akajua akipewa pasi lazima angefunga hivyo alibana kulia zaidi kwa Sissoko ili aweze kupiga shoot kwa mguu wa kushoto
Sent using Jamii Forums mobile app