Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Uliandika uku umebana makalio kabsa wakati unaandika ujinga tu
 
Leo ni kuiombea mema liva tu hamna namna...Na kesho tumpige newcastle....Maisha hayaendi bila fitna

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Wee pambaña ushike nafasi ya tatu maana Europa sisi tunachukua..

Japo leo spurs atashinda..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
upo sahihi kutegemea Citi apoteze ili tunyakue ndoo basi ni kupoteza muda.....inatakiwa tushinde mechi zetu zote zilizobaki endapo Mciti watapoteza inakua ni blessing in disguise.
 
upo sahihi kutegemea Citi apoteze ili tunyakue ndoo basi ni kupoteza muda.....inatakiwa tushinde mechi zetu zote zilizobaki endapo Mciti watapoteza inakua ni blessing in disguise.
Unajua nn captain,swala la kutokuiombea mabaya city haliepukiki maana hata tukishinda mechi zote zilizobaki na wao wakishinda zao basi wao mabingwa...so tunashinda halafu tunaanza kuombea mabaya ndio tunachofanya Sasa!!!na si unakumbuka hata wao walikuwa wanaomba hivyo hivyo kipindi tuna point nyingi juu so twende tu pamoja na KAMATI YA ROHO MBAYA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni sawa Pep baada ya kile kipigo gemu ya Newcastle naona jamaa alikimbilia kanisani kutuombea mambaya..
mpira ndivyo ulivyo huwezi sema Citi ashinde zote na sisi tushinde zote aafu tutegemee kua mabingwa..
hapa ni kwanza tushinde mechi zetu zote hope that is damn possible aafu Citi akipoteza tutashukuru zaidi hivyo maombi yetu yatakua yamesikika...

tuwekeze zaidi kushinda gemu zote aafu ndio la Citu kupoteza...hizi gemu za Vs Spurs, Chelsi na Southmpton si salama sana bt am positive we il come on top..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…